Mazungumzo yasiyosikika

Mazungumzo yasiyosikika

lady L, usiache kupita huku
 
Last edited by a moderator:
ndio maana wazungu wakaweka sehemu ya kuandika msg kwenye simu vuta picha ingekuwaje kila unachotaka kumwambia mwenzako kupitia simu lazima upige!

Hiyo ni sehemu tu ya mazungumzo yasiyosikika kwakuwa hata kuandika ujumbe mfupi (msg), ni Yale unayoyawaza kimyakimya na kuyabadili kwenye maandishi
cc: kamajuzi,
 
Daaah! Itokee mtu amenikera anavyoendelea kuongea me kimya ila majibu nayompa ambayo hayasikii angesikia anaweza asiamini km ni mimi naemjibu akaishia kupata pressure na nilivyo naonekana mpole

unanitisha Luv
 
Last edited by a moderator:
Jamani hata makanisani na misikitini mtu anakuona upon deep unasali..kumbe upo kimwili tu kiroho haupo....hahaha very nice thread

Na hawa ni wengi mno mpaka viongozi wenyewe
 
1460178496807.jpg
 
Hebu pata picha hii umemdate mtu mmeenda vizuri sana mpaka ikafika siku ya siku! Unakuwa na hamu naye kweli mnapanda kitandani unamaliza ufundi wako wote halafu mwenzako yuko kimya baridi kabisa unafikiri anawaza nini kwa wakati ule? Hawezi kuwa mkweli kukwambia aslani
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
mshana jr nakuunga mkono mia kwa mia unajua ndani ya dk moja binadamu anawaza mamilioni ya mawazo
 
sometimes nawaza mambo makubwa sana sipati picha ingekuwa kwa sauti...sijui mh rais angechukuliaje
 
Back
Top Bottom