Mazuri ya treni ya umeme

Mazuri ya treni ya umeme

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Nimefurahishwa sana na majaribio ya treni ya umeme kutoka Dar es Salaam mpaka Dodoma. Kwa kweli imenifurahisha sana kwa muda uliotumika mpaka Dodoma. Pamoja na hayo ninaona changamoto zilizopo huko mbeleni. Kwa Watanzania kama hatutakuwa maakini treni hii haitadumu kama ilivyoanza.

Mwanzo utakuwa mzuri lakini siku zitakavyokuwa zinasogea huduma zake zitakuwa haziridhishi kwa sababu ile ya kukosa uendelevu. Nitoe mifano niliyoyaona kwa miradi michache iliyopo Tanzania. Kwanza mabus ya mwendo kasi yalianza vizuri sana na wananchi tukafurahia huduma yao lakini leo hii usafiri huu umekuwa kero kubwa na matatizo haya yote tumeyaleta sisi Watanzania.

Hatuna utunzaji na uendelevu. Nia kubwa yetu Watanzania wachache ni Chukua chako Mapema. Pili, ni Uwanja wa Mkapa. Uwanja huu mwanzoni ulikuwa ni uwanja wa mfano katika nchi za Afrika Mashariki. Niliwahi kwenda siku moja kwenda kuangalia mechi hapo uwanjani.

Niliyoyaona kwenye vyoo vya uwanja huo ni ya aibu nakutisha. Watu wazima wanakojoa kwenye sinki za maji ya kunawia. Ninayasema haya kwa sababu yanauma na Watanzania hatuthamini chetu na kukitunza. Nina ushauri kwa Serikali.

Mradi wa treni ya umeme pindi itakapoanza ni budi serikali ikatafuta mwekezaji mahiri atakayeweza kusimamia uendeshaji wa shughuli zote za treni hii ya umeme vinginevyo ninawapa miaka mitatu mtaona majibu. Tuige mfano wa jirani zetu wa Kenya, treni yao inasimamiwa na Wachina.
 
Kwa Hiyo weweunashauri Treni Yetu isimamiwe na hao wala konokono?

Wachina wa Kenya Wamesimamia kwa sababu wanakusanya Madeni yao kama ambavyo NSSF inafanya pale DARAJA la KIgamboni.
 
Sio tu kwenye mwendokasi- tunahitaji serious management inayoweza kusimamia, kuendeleza na kuitunza miundo mbinu yote ya mashirka yote ya umma. Tuna upungufu sana katika makupuni ya uendeshaji (Management firms/organisation) na haya mambo ya kukojoa kwenye sinki hayataisha.
 
Wanakojoa kwenye masinki, wanakunya pembeni, wanaiba koki. Watu wa kutoka vijijini na Uswahilini ni wa hovyo sana.
 
Kwa Hiyo weweunashauri Treni Yetu isimamiwe na hao wala konokono?

Wachina wa Kenya Wamesimamia kwa sababu wanakusanya Madeni yao kama ambavyo NSSF inafanya pale DARAJA la KIgamboni.

Sasa kama wameshindwa kusismaia Mwendokasi wataweza kusimamia Train ya Umeme ....!!?

CCM hawawezi kusimamia chochote kile Bandari wamewapa Waarabu, Misitu wamewapa Waarabu, Mbuga wamewapa Waarabu, Mwendokasi wamewapa Waarabu, wamalizie tu na Train kabla watu hawajajua uzuri na ubaya wa Mwarabu.
 
Mradi wa treni ya umeme pindi itakapoanza ni budi serikali ikatafuta mwekezaji mahiri atakayeweza kusimamia uendeshaji wa shughuli zote za treni hii ya umeme vinginevyo ninawapa miaka mitatu mtaona majibu. Tuige mfano wa jirani zetu wa Kenya, treni yao inasimamiwa na Wachina.
Kwanini huyo mwekezaji asiwekeze kwa kujenga reli yake?!
 
CCM hawawezi kusimamia chochote kile Bandari wamewapa Waarabu, Misitu wamewapa Waarabu, Mbuga wamewapa Waarabu, Mwendokasi wamewapa Waarabu ..... wamalizie tu na Train kabla watu hawajajua uzuri na ubaya wa Mwarabu....!!
Wawapishe wanaoweza kusimamia.
 
Kama mtoa Mada ni China Sawa, hao watu watusimamie kwamba hatuwezi wenyewe si kweli. Kama una shamba wapeleke hao wachina shamba kwako.
 
Nimefurahishwa sana na majaribio ya treni ya umeme kutoka Dar es Salaam mpaka Dodoma. Kwa kweli imenifurahisha sana kwa muda uliotumika mpaka Dodoma. Pamoja na hayo ninaona changamoto zilizopo huko mbeleni. Kwa Watanzania kama hatutakuwa maakini treni hii haitadumu kama ilivyoanza.

Mwanzo utakuwa mzuri lakini siku zitakavyokuwa zinasogea huduma zake zitakuwa haziridhishi kwa sababu ile ya kukosa uendelevu. Nitoe mifano niliyoyaona kwa miradi michache iliyopo Tanzania. Kwanza mabus ya mwendo kasi yalianza vizuri sana na wananchi tukafurahia huduma yao lakini leo hii usafiri huu umekuwa kero kubwa na matatizo haya yote tumeyaleta sisi Watanzania.

Hatuna utunzaji na uendelevu. Nia kubwa yetu Watanzania wachache ni Chukua chako Mapema. Pili, ni Uwanja wa Mkapa. Uwanja huu mwanzoni ulikuwa ni uwanja wa mfano katika nchi za Afrika Mashariki. Niliwahi kwenda siku moja kwenda kuangalia mechi hapo uwanjani.

Niliyoyaona kwenye vyoo vya uwanja huo ni ya aibu nakutisha. Watu wazima wanakojoa kwenye sinki za maji ya kunawia. Ninayasema haya kwa sababu yanauma na Watanzania hatuthamini chetu na kukitunza. Nina ushauri kwa Serikali.

Mradi wa treni ya umeme pindi itakapoanza ni budi serikali ikatafuta mwekezaji mahiri atakayeweza kusimamia uendeshaji wa shughuli zote za treni hii ya umeme vinginevyo ninawapa miaka mitatu mtaona majibu. Tuige mfano wa jirani zetu wa Kenya, treni yao inasimamiwa na Wachina.
R.I.P JPM
 
Nimefurahishwa sana na majaribio ya treni ya umeme kutoka Dar es Salaam mpaka Dodoma. Kwa kweli imenifurahisha sana kwa muda uliotumika mpaka Dodoma. Pamoja na hayo ninaona changamoto zilizopo huko mbeleni. Kwa Watanzania kama hatutakuwa maakini treni hii haitadumu kama ilivyoanza.

Mwanzo utakuwa mzuri lakini siku zitakavyokuwa zinasogea huduma zake zitakuwa haziridhishi kwa sababu ile ya kukosa uendelevu. Nitoe mifano niliyoyaona kwa miradi michache iliyopo Tanzania. Kwanza mabus ya mwendo kasi yalianza vizuri sana na wananchi tukafurahia huduma yao lakini leo hii usafiri huu umekuwa kero kubwa na matatizo haya yote tumeyaleta sisi Watanzania.

Hatuna utunzaji na uendelevu. Nia kubwa yetu Watanzania wachache ni Chukua chako Mapema. Pili, ni Uwanja wa Mkapa. Uwanja huu mwanzoni ulikuwa ni uwanja wa mfano katika nchi za Afrika Mashariki. Niliwahi kwenda siku moja kwenda kuangalia mechi hapo uwanjani.

Niliyoyaona kwenye vyoo vya uwanja huo ni ya aibu nakutisha. Watu wazima wanakojoa kwenye sinki za maji ya kunawia. Ninayasema haya kwa sababu yanauma na Watanzania hatuthamini chetu na kukitunza. Nina ushauri kwa Serikali.

Mradi wa treni ya umeme pindi itakapoanza ni budi serikali ikatafuta mwekezaji mahiri atakayeweza kusimamia uendeshaji wa shughuli zote za treni hii ya umeme vinginevyo ninawapa miaka mitatu mtaona majibu. Tuige mfano wa jirani zetu wa Kenya, treni yao inasimamiwa na Wachina.
Hii falsafa ya Chukua chako mapema ndio janga kuu katika Nchi !!
 
Sasa kama wameshindwa kusismaia Mwendokasi wataweza kusimamia Train ya Umeme ....!!?

CCM hawawezi kusimamia chochote kile Bandari wamewapa Waarabu, Misitu wamewapa Waarabu, Mbuga wamewapa Waarabu, Mwendokasi wamewapa Waarabu, wamalizie tu na Train kabla watu hawajajua uzuri na ubaya wa Mwarabu.
TANESCO, POSTA, TTCL, Bandari, Mwendokasi karibu vyote vimewashinda
 
Back
Top Bottom