screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
Huo ndo mpambano sasa, Tonya2 naye alikuwa motoLinganisha MB na Matonya, ila ule wimbo MB 'inamaana' ni bomba sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ndo mpambano sasa, Tonya2 naye alikuwa motoLinganisha MB na Matonya, ila ule wimbo MB 'inamaana' ni bomba sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile ngoma ya vaileth shida mkuu kuna pini lingine dunia mapito.. Matonya waya wa transfomaLinganisha MB na Matonya, ila ule wimbo MB 'inamaana' ni bomba sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Baadhi ya Ngoma za MB Doggy
1.
2.
3.
4.
5.
Ni Saga plage sio Sagablasha mkuu kusoa hapoMB Dog ni habari nyingine, alikuwa na hits song nyingi kumzidi hata huyo Z Anton.
Kuna nyimbo kama Latifa, Si uliniambia na Sagablasha.
Hiyo Sagablasha ni balaa,baadhi ya mistari;
Sagablasha alivaa kitopu cha bluu kimeandikwa karibu Bujumbura, nikamtafuta nimwone sikumwona tena.
Sagabrasha ✔️
acha kumfananisha mb dog na watoto wadogoLeo tuwapambanishe manguli wawili wa Bongo Flavour, hawa ni wasanii ambao walibadilisha muziki wa bongo kuwa R&B halisi miaka ya 2003 & 2004 vilitoka vibao viwili vilivyosumbua sana cha kwanza Z. Anto ni Binti Kiziwi, cha pili ni Latifa kutoka kwa MB Dog
Z. Anto
--binti kiziwi
--mpenzi jini
-kisiwa cha malavi Davi
MB Dog
_latifa
_mapenzi kitu gani
_si uliniambia
Unadhani nani alitisha zaidi
Mzee baba Saga plage ni beach ipo apa bujumbura na iyo ngoma mb dog aliitoa wakatiyuko apa bujumbura na ndani yale anaimba kirundi ao?Sagabrasha [emoji3581]
Saga plage[emoji3582]
Umeanza kusikiliza juzi nn
Latifa = Cinderella + Nenda KamwambieDog habari nyingine mkuu hata kwa sasa hivi huwezi kumlinganisha na king kiba wala diamond kwa namna alivyo hit kipindi kile na ma song yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakshi Nakshi mrembo ndiyo wimbo uliofanya vizuri sana wakati huo Latifa nao ukitamba.