Mba kichwani (Dandruff): Fahamu Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

Mba kichwani (Dandruff): Fahamu Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

Mba ni seli za ngozi zilokufa. Kama Ni mpenzi wa vipodozi asilia, nicheki kwa 0713039875 nikupe shampoo asilia ,tatizo lako liishe Kama wengine
 
Nyoa nywele vizuri hata kama sio kipara. Kila unapooga paka mafuta ya nazi kichwani yale ya kawaida tu.

Ndan ya muda mchache zitaisha kabisa. Usisahau kuleta mrejesho
 
Niliteseka na tatizo kama hilo nimetumia shampoo ya grace products baada ya siku 5 tatizo kwishnei
 
Tumia sabuni ya detol au yeyote medicated kali then paka mafuta ya mba kama radiant
 
Mzee tafuta Shampoo inaitwa head and shoulders Anti Dandruff Shampoo and Conditioner, kuepukana na fake nenda Shoppers supermarkets utakuja kunishukuru baadae.
 
Habari zenu wandugu JF, poleni kwa uchovu wa siku mpya ya maombolezo!

Naomba kwenda moja kwa moja kwenye jambo langu, nasumbuliwa sana na mba kichwani ambao unatoka kma ungaunga kila napochana nywele, sasa hvi imefikia kiasi kwamba nikichana tu unamwagika nakuwa kama nimemwagiwa poda au sembe kichwani.

Tatizo hili ni la muda kidogo na linanifanya niwe nanyoa kila baada ya mwezi.

Note: nikipaka mafuta mikono yote sku hyo inahamia kichwani kwa kujikuna
Kama hapo ulipo unaweza kupata shampoo ya "Head and Shoulders" iliyoandikwa anti dundruf utasahau tatizo ndani ya wiki tu.
 
Sijaiona tiba isiyo na gharama kama hii, labda Tshs200/= ya wembe tu.

Ni kwa kunyoa kipara ngoto mfululizo hata mwezi mzima hadi waishe.

Hiyo ndiyo njia rahisi ya kufukuzia hao mba sugu kuliko njia zingine ambazo huchelewesha na sazingine kudunda.
 
Sijaiona tiba isiyo na gharama kama hii, labda Tshs200/= ya wembe tu.

Ni kwa kunyoa kipara ngoto mfululizo hata mwezi mzima hadi waishe.

Hiyo ndiyo njia rahisi ya kufukuzia hao mba sugu kuliko njia zingine ambazo huchelewesha na sazingine kudunda.
Tena liwe dongo haswaaaaa.

Kila zikikua kidogo after 3-4 fays unazitoa nywele.

Then unaongeza na mafuta ya breki sidhani kama mba watapenda kichwa chako
 
Wakuu, dawa za ukweli za mba ni hizo nilizoweka hapo juu: Terbifin na Beprosalic ointment. Baada ya kusumbuka kwa miaka mingi, dawa hizo zilinipa suluhisho.
Mkuu hii dawa Terbifin unaweza kunisaidia prescription yake ili niitafute pharmacy? ...nielewe tu ni 1 X ngapi au 2 X ngapi

Na hiyo Beprosalic ointment unaweza kuipaka kichwani? Ama ni mwilini tu? Maana nina MBA za kichwani na mabegani.

Ni miaka 20 sasa nasumbuliwa na MBA,
Nimeshatumia, Ketoconazole,griseofulvin,diproson, movit, mafuta ya break na takataka zote uzijuazo lakini wapi kaka!

Ntashukuru kwa msaada wako
 
Mkuu hii dawa Terbifin unaweza kunisaidia prescription yake ili niitafute pharmacy? ...nielewe tu ni 1 X ngapi au 2 X ngapi

Na hiyo Beprosalic ointment unaweza kuipaka kichwani? Ama ni mwilini tu? Maana nina MBA za kichwani na mabegani.

Ni miaka 20 sasa nasumbuliwa na MBA,
Nimeshatumia, Ketoconazole,griseofulvin,diproson, movit, mafuta ya break na takataka zote uzijuazo lakini wapi kaka!

Ntashukuru kwa msaada wako
Mkuu hizo dawa zote kama ukizinunua duka la dawa utapata prescription kulingana na ukubwa wa tatizo lako. Na hiyo dawa ya kupaka unaweza kupaka sehemu yoyote ya mwili mkuu.
 
Mkuu hizo dawa zote kama ukizinunua duka la dawa utapata prescription kulingana na ukubwa wa tatizo lako. Na hiyo dawa ya kupaka unaweza kupaka sehemu yoyote ya mwili mkuu.
Shukrani sana kaka, naelekea pharmacy
 
Mkuu hizo dawa zote kama ukizinunua duka la dawa utapata prescription kulingana na ukubwa wa tatizo lako. Na hiyo dawa ya kupaka unaweza kupaka sehemu yoyote ya mwili mkuu.
Nimezitafuta Leo, nimepata moja tu kwenye pharmacy kubwa za hapa nilipo... nimeipata hiyo ya vidonge tu ( Terbifin-250

Hiyo beprosalic haipo kabisa!!! Sijui ndio moja ya zile dawa muhimu na maalum ambazo hazipatikani kirahisi?!

Hakuna cream mbadala/beprosalic substitute nayoweza kuipata ya kupaka nitumie na hivi vidonge mkuu!?
 
Nimezitafuta Leo, nimepata moja tu kwenye pharmacy kubwa za hapa nilipo... nimeipata hiyo ya vidonge tu ( Terbifin-250

Hiyo beprosalic haipo kabisa!!! Sijui ndio moja ya zile dawa muhimu na maalum ambazo hazipatikani kirahisi?!

Hakuna cream mbadala/beprosalic substitute nayoweza kuipata ya kupaka nitumie na hivi vidonge mkuu!?
Mkuu hiyo Beprosalic ni ointment. Unaweza kutumia hata cream kama umekosa ointment. Hii ni dawa kubwa inapatikana kwenye pharmacy na hospitali kubwa tu.
 
Back
Top Bottom