Hizi allegations kama ni za kweli huyo mkuu wa KKKT itabidi atoe maelezo ya kina ni kwa nini hali iko hivyo. Lakini kwa Dayosisi ya Iringa nasikia huyo Askofu wa huko anaogopwa kama nini na hata mkuu wa Kanisa hawezi kumuuliza chochote.
Hata hivyo nashukuru kwa hii alert kwani yeyote atakaye kuja na vyeti vya Tumaini University mbele yangu, kazi hapati!!!!!
Tiba
ufundishaji wa masters of business administration(mba),tumaini university unatia aibu sana. Utakuta mwanafunzi hana uwezo wa mathematics, alikotoka kote masomo ya mathematics kapata "f" a.k.a mswaki, lakini akijiunga mba tumaini university-iringa ana graduate akiwa na "a" kwenye masomo yote involving mathematics.
Ikiwa basic mathematics e.g jumlisha na kutoa decimal places mtu hawezi.. Inakuaje apate "a" ya 96% ya financial management?
95% ya quantitative mathematics? The same student anakiri wazi kuwa yeye hana uwezo na masomo hayo,sasa hizi "a" zinatoka wapi? Wapo waliomaliza mba then hapo hapo wanaamua kusoma masterz ya community development the same university,ukiwauliza y,kwanini... Wanakuambia mba tumechakachuliwa.....,tuna vyeti without knowledge.
Tumaini inatupeleka wapi watanganyika?
Wahusika tunaomba mjirekebishe, hata kama ni biashara tangulizeni na uzalendo kwa taifa.
M2 wangu ukienda sokoni (STREET) ndo utagundua ubaya wake.
tumaini??? wanatoa mba nao, mi nilifikiri wanatoa diploma tuu.
mba soma UDSM, SUA, baaasi hakuna MBA NYINGINE HAPA TANZANIA...hata huko mzumbe, OPEN uongo mtupu
Ufundishaji wa Masters of Business Administration(MBA),Tumaini University unatia aibu sana. Utakuta mwanafunzi hana uwezo wa mathematics, alikotoka kote masomo ya mathematics kapata "F" a.k.a mswaki, lakini akijiunga MBA Tumaini University-Iringa ana graduate akiwa na "A" kwenye masomo yote involving mathematics.
Ikiwa Basic mathematics e.g jumlisha na kutoa decimal places mtu hawezi.. inakuaje apate "A" ya 96% ya financial management?
95% ya Quantitative mathematics? the same student anakiri wazi kuwa yeye hana uwezo na masomo hayo,sasa hizi "A" zinatoka wapi? Wapo waliomaliza MBA then hapo hapo wanaamua kusoma masterz ya Community Development the same university,ukiwauliza y,kwanini... wanakuambia MBA tumechakachuliwa.....,tuna vyeti without knowledge.
Tumaini inatupeleka wapi watanganyika?
Wahusika tunaomba mjirekebishe, hata kama ni biashara tangulizeni na uzalendo kwa taifa.[/QUOTE]
YAH: TAARIFA SAHIHI NDUGU KASUKU
Matatizo haya inawezekana yalikuwepo kipindi cha miaka ya nyuma kituo ulichosoma wewe,by then makambako centre ambacho kwa sasa uongozi wa chuo umekifunga, au wewe ndo ulisadiwa hivyo. Hivyo madai yako siyo sahihi hata kidogo. Tumaini ina vituo viwili kwa ajili ya masters program, Main campus(iringa) and Mbeya town,. Uongozi wa chuo ulishachukua hatua sahihi kufunga center ya makambako na hakuna tena hilo jambo. Inaonekana una chuki binafsi na mtu hasa baada ya kuondolewa kazi hapo chuoni kama part-timer lecturer na biashara yako iringa town(grosary) kuanza kusuasua. Naamini kabisa we ni mmoja wapo wa walimu waliondolewa hapo chuoni kwa kukosa maadili na sasa unaedekeza majungu.
Tumaini iringa graduates kwa sasa wapo sokoni na ni viwango sahihi,mfano: walimu wengi wa vyuo vya serikali like SOKOINE,DODOMA,MZUMBE,UDSM wapo waliotoka Tumaini iringa. etc
Tumaini ipo leo, itakuwepo kesho na hata milele.
Sifa na utukufu apewe bwana aliyekiunda chuo.
Haleluya
Ufundishaji wa Masters of Business Administration(MBA),Tumaini University unatia aibu sana. Utakuta mwanafunzi hana uwezo wa mathematics, alikotoka kote masomo ya mathematics kapata "F" a.k.a mswaki, lakini akijiunga MBA Tumaini University-Iringa ana graduate akiwa na "A" kwenye masomo yote involving mathematics.
Ikiwa Basic mathematics e.g jumlisha na kutoa decimal places mtu hawezi.. inakuaje apate "A" ya 96% ya financial management?
95% ya Quantitative mathematics? the same student anakiri wazi kuwa yeye hana uwezo na masomo hayo,sasa hizi "A" zinatoka wapi? Wapo waliomaliza MBA then hapo hapo wanaamua kusoma masterz ya Community Development the same university,ukiwauliza y,kwanini... wanakuambia MBA tumechakachuliwa.....,tuna vyeti without knowledge.
Tumaini inatupeleka wapi watanganyika?
Wahusika tunaomba mjirekebishe, hata kama ni biashara tangulizeni na uzalendo kwa taifa.[/QUOTE]
YAH: TAARIFA SAHIHI NDUGU KASUKU
Matatizo haya inawezekana yalikuwepo kipindi cha miaka ya nyuma kituo ulichosoma wewe,by then makambako centre ambacho kwa sasa uongozi wa chuo umekifunga, au wewe ndo ulisadiwa hivyo. Hivyo madai yako siyo sahihi hata kidogo. Tumaini ina vituo viwili kwa ajili ya masters program, Main campus(iringa) and Mbeya town,. Uongozi wa chuo ulishachukua hatua sahihi kufunga center ya makambako na hakuna tena hilo jambo. Inaonekana una chuki binafsi na mtu hasa baada ya kuondolewa kazi hapo chuoni kama part-timer lecturer na biashara yako iringa town(grosary) kuanza kusuasua. Naamini kabisa we ni mmoja wapo wa walimu waliondolewa hapo chuoni kwa kukosa maadili na sasa unaedekeza majungu.
Tumaini iringa graduates kwa sasa wapo sokoni na ni viwango sahihi,mfano: walimu wengi wa vyuo vya serikali like SOKOINE,DODOMA,MZUMBE,UDSM wapo waliotoka Tumaini iringa. etc
Tumaini ipo leo, itakuwepo kesho na hata milele.
Sifa na utukufu apewe bwana aliyekiunda chuo.
Haleluya
narudia kusema tena,masters yoyote ya tumain ni sawa na form 6 ya ilboru secondary.
tena ukiwa MKKKT unapata degree yako fasta bora ukumbuke sadaka yao kanisani
narudia kusema tena,masters yoyote ya tumain ni sawa na form 6 ya ilboru secondary.
Kama ni hivyo ni sawa 4 ya kata.