Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Ukitaka raha ulaya haikwepeki mkuu.. nyie endelee kujificha kwenye hilo chaka lenu.. tutawawashia utambi 😀😀Hayo mi cjui bro,,,lakini mjapan mpeleke popote pale iwe rough road, Lami, inaenda tuuu. Gari ambayo naipenda pia Land rover defender (TDI) Huyu ata kwenye tope anapita, ni gari moja ngumu mno.