Mbabe wa Dunia wa Mieleka kupigwa dakika 1 na Sec 25 Ni Haki?

Miaka kama 10 iliyopita Goldberg alimdunda huyo Lesner.
 
Na wale wanao pasuka damu zinamwagika ni uwongo na wale wanaopata injury na wanakaa nje ni uwongo mi napita tu ila hii mechi Goldberg vs Lesnar imeniacha mdomo wazi sikutegemea kabisa
 
huu mchezo wa kuigiza hua haunipotezei mda wangu bora nitazame isidingo
Kama ni maigizo jiulize bongo tumeshindwa nn kuiga? Muda mwingine muache tu mambo yapite bila kuonyesha udhaifu wako wa kishamba
 
Kama mnajua ni uongo kwanini mnakuwa excited na hayo matokeo sasa?? Wakati mnajua yanapangwa
 
Nimewahi kuiona documentary moja ikielezea namna hao jamaa wanavyokua trained kufanya stunts na uongouongo mwingi ulingoni. Hii mieleka ni maigizo mwanzo mwisho! Sasa kwanini nipoteze usingizi wangu kuangalia maigizo, that is insanity.
 
Kama mnajuauongo kwanini mnakuwa excited na hayo matokeo sasa?? Wakati mnajua yanapangwa
Hiyo mieleka inabidi ipelekwe kwenye zile channel za cartoon, watoto wetu na mabekitatu wawe wanaangalia na kufurahia
 
Kama mnajua ni uongo kwanini mnakuwa excited na hayo matokeo sasa?? Wakati mnajua yanapangwa
Ndio maana inaitwa Wrestking Entertinment, ni burudani iko scripted ndio lakin series za matukio ndio excitement yetu, humo kuna furaha, majonzi, mapenzi, maumivu na kila aina ya burudani, na script hizo hakuna anayezijua zaid ya wanaocheza wenyewe. na mbona wewe unaangaloa movie na unajua kabisa stering ata shinda tu!!?
Kuna watu wanaangalia Titanic wabafurahi kabisa wakati di caprio hata hakuwa kwenye meli waliigizia kwenye bwawa na blue screen tuu ila ndio watu wana burudoka hivo.
Sisi ndio burudani yetu wewe kama hupendi piga chini.
 
Nikuhakikihie Hakuna Pambanonhata moja La wresttling ni la kweli . Usiwe Blind kiasi hiko ndugu .. Jaribu kuchunguza mambo .. Secret zote za wresstling Zipo Yotube ...search and watch..
Ni search kwa neno lipi?
Mkuu yale mapambano "No Extreme Rules" huwa ni ukweli, mtu anapigwa steel chair, ngazi, na damu zinaonekana
 
Hizo ni script,game iliyoniuma ni ya sham zain,.alafu kwenye hii survivor series kutoka mapema kwa sasha bank(the boss),wanabaki watu amabao hata hawauzi style hata moja,.
Hii mieleka ya wwe huwa inaonekana channel gani?
 
BT sport 2 Kama unatumia app ya mtanzania yule utaona kila jumatatu na jumanne
Duh

Mimi nipo dstv, huku huwa wanaonyesha TNT wrestling - huwa naiona haina mvuto kama wwe.
 
Kwenye DSTV nadhani kuna channel watakuwa wanaonyesha, ngoja wanaojua wengine waseme
 
Mkuu kuna tofauti kubwa sana kati ya maigizo ya movie na maigizo ya mieleka... Tofauti ni kubwa sana
 
Mkuu kuna tofauti kubwa sana kati ya maigizo ya movie na maigizo ya mieleka... Tofauti ni kubwa sana

mkuu kila mtu na burudani yake hata mimi huwa nashaangaa sana mtu anapoangalia Movie hadi nae analia naonaga ni ujinga huwezi lia kwa kitu unajua ni uongo.........hata mimi najua kabisa mieleka ni maigizo sawa ila napenda matukio yao walivyo yapangilia that's all..
 
so wazungu wakipenda na ww una penda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…