aise
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 5,175
- 16,488
Huu ndiyo ukomavu sasa!Unaweza kubali matokeo bila hata kuwa na plan B…..yawezekana kabisa kama unajijali kweli
Hongera sana mkuu, kuwa na plani b ni kama kaumalaya hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ndiyo ukomavu sasa!Unaweza kubali matokeo bila hata kuwa na plan B…..yawezekana kabisa kama unajijali kweli
Unakuaga na plan b lo?🤔🤔🤔🤔!
Beauty with brain.Ili wakitufuma watuchome visu akuuuu
Malaya katika moja na mbiliGuys good evening
Tunaishi Kwenye dunia ambayo huruma ilishapungua kwa binadamu. Watu hawahurumii hisia za wenzao kabisa.
Mtu anaweza akaamka na akaona hawezi kuendelea kuwa na wewe, au unakuta mtu amewapanga kwahiyo kukatisha huba kwa yeyote ni muda wowote.
Sasa katika Hali hii ile formular ya kutenganisha Mayai na kutoyaweka pamoja itakusaidia ili kuepusha hasara yakivunjika yote au ile ya distribution of risk itasaidia Sana.
Mwanamke hupaswi kuweka tumaini lako kwa mtu mmoja ili akizingua usiumie. Yani ikitokea amezingua unaandika nne unatafuta wine unashushia unapigia figa LA pili unacheeeeka siku inaisha.
Usije kusema hukuambiwa.
Jioni njema
he is not normallyme pia nmeshangaa
Walaa mwaya...🤣Kumbe nimeposti pumba eeh
😂😂😂😂Ili wakitufuma watuchome visu akuuuu
Kwa sasa nipo level ambayo naumiza everyone anaenipenda... Ninaempenda... Yaan ni full maigizoyule unae mpenda ndiyo anakuumiza ipog hivyo yule unaemtesa kwasababu umpendi ndio anakupenda na wakat huyu unaempenda anakuumiza usiye mpenda ndio anakutuliza ili uwe sawa bila kujua unaumizwa na mapenzi
Mkuu mapenzi hili ndio jukwaa lake, masuala ya michongo, siasa, uchumi, historia n.k yote yana majukwaa yao ni suala la wewe tu kwenda kuperuzi ukoHivi nyie wenzetu hamnaga mambo ya msingi ya kuwaza..? Maisha hayawapi challenge nyingine yeyote isipokuwa mapenzi..? Yaani wewe jumamosi ya leo ni ya mwisho wa mwezi, watu tushapigika week nzima hapa kichwa hakifai alafu bado mnataka tuyawaze mapenzi..?
Muanzisha mada tafakari sana maisha yako, muelekeo unaoenda nao unapotea mdogo wangu.
Hivyo unahitaji vidumu vingapi vya petroli🤭Guys good evening
Tunaishi Kwenye dunia ambayo huruma ilishapungua kwa binadamu. Watu hawahurumii hisia za wenzao kabisa.
Mtu anaweza akaamka na akaona hawezi kuendelea kuwa na wewe, au unakuta mtu amewapanga kwahiyo kukatisha huba kwa yeyote ni muda wowote.
Sasa katika Hali hii ile formular ya kutenganisha Mayai na kutoyaweka pamoja itakusaidia ili kuepusha hasara yakivunjika yote au ile ya distribution of risk itasaidia Sana.
Mwanamke hupaswi kuweka tumaini lako kwa mtu mmoja ili akizingua usiumie. Yani ikitokea amezingua unaandika nne unatafuta wine unashushia unapigia figa LA pili unacheeeeka siku inaisha.
Usije kusema hukuambiwa.
Jioni njema
upo.vzrKwa sasa nipo level ambayo naumiza everyone anaenipenda... Ninaempenda... Yaan ni full maigizo
Mkuu now nipo 🔥upo.vzr
ofcourseNadhani kiswahili unskijua vizuri kuliko kingereza.