Mshumaa_Tz
JF-Expert Member
- Mar 20, 2020
- 681
- 2,501
- Thread starter
- #21
Toka dr slaa aondoke Chadema kimekuwa kama chama cha sacos mwenye hisa kubwa Ndio anaunguruma
Sent using Jamii Forums mobile app
Elimu ya siasa watu bado inawapa shida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka dr slaa aondoke Chadema kimekuwa kama chama cha sacos mwenye hisa kubwa Ndio anaunguruma
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sasa hivi CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO aka chadema ndio hasa watetezi wa rugemalira na seth singh.Sera ya kupambana na mafisadi ilikua ngazi kubwa sana iliyoleta hamasa ya mabadiliko,hivi ilishia wapi ?
au mafisadi wamekwisha ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi umemalizia hoja yako kwa kusema Namba hazidanganyiSasa hivi watu wanapiga ramli za kuwa NCCR inaweza kuwa mbadala wa Chadema.
Hila ukweli uliopo hapa Tz mbadala wa Chadema ni CCM na mbadala wa CCM ni chadema.
Siasa ni mbinu ...chadema wamewekeza kwa vijana wasomi 70% ccm 25% Act 4.7% Nccr 0.3% chauma 0.00% Tlp 0.00% , Undp 0.00% Namba azidanganyi
Its just matter of time.
Cdm ya new generation ccm ya wazee na kina mama wanaongopewa kirahisi.Sasa hivi watu wanapiga ramli za kuwa NCCR inaweza kuwa mbadala wa Chadema.
Hila ukweli uliopo hapa Tz mbadala wa Chadema ni CCM na mbadala wa CCM ni chadema.
Siasa ni mbinu ...chadema wamewekeza kwa vijana wasomi 70% ccm 25% Act 4.7% Nccr 0.3% chauma 0.00% Tlp 0.00% , Undp 0.00% Namba azidanganyi
Its just matter of time.
Ishu si utetezi ishu mchakato usio wa haki ,swali alipiga mwenyewe vipi maofisa wa serikali walioshirikiana nae kupiga vipi walionufaika na kupiga wao kwann wako nje.Pili kumshikilia mtu ndani miaka 5 ukisubiri upelelezi ambao hata miaka 60 hautokamilika ni kinyume na haki za binadamu pili ni matumizi mabaya ya Kodi zetu.Hamna kesi pale Kama wahusika wengine wako nje kitakachofanyika ni watakaa ndani then DPP atawaachia kesi za uhujumu uchumi ushahidi wake huwa ni vigumu kuupata na Hadi ukikaa ndani miaka 60 huwezi pata ushahidi labda tu labda tu ukubali kuununua Uhuru wako ukae nao meza moja kisha ukubali kosa hata Kama ukutenda ili uwe huru.Kinachowatesa hao ni kutokubali kuununua Uhuru wao maana yule bwana anachotaka ni kuabudiwa wakishamuabudu tu na kumpa heshima yake kesho tu wako nje.Mkuu sasa hivi CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO aka chadema ndio hasa watetezi wa rugemalira na seth singh.
Ushahidi ni hotuba za kambi rasmi ya upinzani bungeni kwa sasa.
Tafuta clip za utube zote utawasikia.
Ogopa this peoples from there
Sent using Jamii Forums mobile app
Ccm ni tindo bila nyundo upinzani haiwezi fanya kazi kumbuka ccm inatekeleza sera za upinzani.Apingae upinzani apendi maendeleoKifupi unajua umeandika maoni yako ndio maana umeniambia naruhusiwa kukubaliana au kupingana na mtazamo wako, mimi nakulinga.
Wewe ni miongoni mwa wale mnaoamini wapinzani kazi yao ni kusifia, NO. wapinzani kazi yao ni kuisukuma serikali kuleta maendeleo kwa wananchi wake, na wanapoyapeleka, ndilo jukumu lao, wasisubiri kupongezwa, na kupongezwa ni uamuzi sio lazima, msichezee akili za watu kwenye hili.
Hebu niambie, kama serikali ikitaka kuanza kusifiwa na wapinzani, hiyo kazi ya sasa ya upinzani itafanywa na nani? au jamaa ndio watakuwa wapinzani wao na chama tawala wao at the same time?! muache haya maigizo.
Suala la ukata nalo kama litakuwepo basi litapiga pande zote, kuchangiwa watoke ndani it doesnt mean hawawezi fanya kampeni.
Kama mbunge wa CCM ataweza fanya kampeni jimboni, kwanini wa CDM ashindwe? hiyo issue ya msaada naamini mmeielekeza zaidi kwa NCCR kwasababu wao ndio wenye hali ngumu zaidi, ndio maana wakaahidiwa msaada siku ile walienda ikulu, but mnaitumia jumla kama "mind games" tu ili kujihalalishia wizi mtaoufanya, but it wont be easy for you guyz, believe me.
Issue ni kwamba, wanaweza pewa NCCR msaada wa kifedha, but wakafeli kwa wapiga kura kama hali inavyojionesha sasa, kwa hali ya kawaida, lazima msaada wa kifedha wataopewa uendane na uungwaji mkono wa chama husika kwa wapiga kura, vingibevyo ni kujidanganya tu NCCR itaenda kuwa chama kikuu cha upinzani bungeni eti kwasababu watakuwa na uwezo wa kusimamisha wagombea kila jimbo, uchaguzi sio bahati nasibu mjomba, kila mtu apate, ni mbinu kama unavyosisitiza mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Africa Msomi hana nguvu wala hajui kuitumia akili na elimu, wapenda wachawi wakubwa ni walioelimika, mafisadi nj wao, wala Rushwa ni wao, vibaraka wa serekali za njee ni wao, wauza nchi, Imani, Mila na watu wao ni wao.
Zaidi ya hapo ubovu wa Chadema wamewaweka mbele wahuni na vibaka mbele kama viongozi, na wale viongozi wazuei wote wametimuliwa kwa namna moja ama nyengine, hebu chunguza waliojitoa ama kufukuzwa tokea 2010 hadi leo, andika majina yao na sababu ya kuondoka, utapata mshituko.
Chadema ikitegemea kupelekwa popote na akina Sugu,Lema, Mdee nk... basi tutangoja karne mbili
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mbadala hata ccm inajua ndio maana inahangaika kuwafunga viongozi wa chadema kwa kesi za kitoto mwenye bunduku asishtakiwe eti ashtakiwe asiye hata na fimbo kwa kifo cha risasi Chadema ipo tu nunua wabunge,madiwani siasa za kishambaSasa hivi watu wanapiga ramli za kuwa NCCR inaweza kuwa mbadala wa Chadema.
Hila ukweli uliopo hapa Tz mbadala wa Chadema ni CCM na mbadala wa CCM ni chadema.
Siasa ni mbinu ...chadema wamewekeza kwa vijana wasomi 70% ccm 25% Act 4.7% Nccr 0.3% chauma 0.00% Tlp 0.00% , Undp 0.00% Namba azidanganyi
Its just matter of time.
Huu ni utoto,kwani hao akina mbowe walipitishwa na tume gani ya uchaguzi? Ndio maana mnaambiwa hamna hoja ya msingi kwa sasa. CDM Presidential candidate alipata kura 6000000 dhidi ya 8000000 za CCM na bado mnasema tume haikuwa Huru,au mnafikiria kwa kutumia upande mwingine huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani idadi ndogo ya watu ndio kusema watu wanataka kumwaga damu? Sasa kama MTU anaona vyovyote vile ccm itapita,kwanini aende kupiga kura? Hakuna kumwaga damu ktk kizazi hichi,kama unabusha subiri,Majeshi yapo imara,utaishia kumwaga damu yako tu na mambo yataendelea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo mpaka sasa hivi hii tume huru ya uchaguzi mkishaandika hapa mashabiki kadhaa kwamba "tunataka tume huru"Mkakati unataka uwe upi, cdm sio chama cha kigaidi, bali kinatumia njia za kisiasa kwani kina ushawishi mkubwa kwa watu. Kwasasa njia ya box la kura ndio ya amani, ndio maana tunadai tume huru ya uchaguzi. Iwapo njia hiyo ya box la kura haitafanikiwa, basi kuna njia nyingine nyingi zitatumika japo zina gharama zake.
Hivi chadema na vyama vya upinzani hoja ya kujitoa kwenye ule uchaguzi ilikuwa ni kwa sababu ya wananchi kugoma kwenda kujiandikisha?Acha nicheke kwanza, nadhani unafikiri tume huru ni lazima idaiwe na cdm. Kwa taarifa yako tume huru ya uchaguzi tunaidai sisi wananchi tuliochoka kura zetu kuchezewa, na kuwekewa viongozi wasio chaguo letu. Nitakupa mfano mrahisi na halisi. Wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa wananchi tuligoma kujiandikisha kwenye daftari la kupigia kura, na sababu ya kugoma ni ule uhayawani tuliouona kwenye chaguzi zote za marudio baada ya Magufuli kuingia madarakani. Mbowe na Halima Mdee hawakujua kuwa wananchi tunajitambua, wakaenda kujiandikisha na kuitisha watu kujitokeza kujiandikisha, hakuna mtu mwenye akili timamu alijitokeza kwenye uhuni ule. Baada ya kuona uhalisia wa wananchi kususia kujiandikisha, vyama vyote vya upinzani vilijitoa kwenye uchaguzi ule.
Hata sasa nadhani umeona mwenyewe jinsi watu wamepuuza kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura. Hapa tulipo hatujali hata ikibaki wiki moja tunataka tume huru ya uchaguzi, vinginevyo hatuwezi kushiriki huo uhuni uitwao uchaguzi. Cdm au chama chochote cha siasa kinaweza kushiriki huo uchaguzi, lakini sisi wapiga kura tunaojitambua hatuko tayari kushiriki uhuni wowote bila tume huru ya uchaguzi. Kwa taarifa yako njia ya box la kura ni moja kati ya njia ya kuweza kupata kiongozi, lakini sio njia pekee ya kupata kiongozi. Umma unapoamua hakuna jinsi. Cdm au chama chochote kinachojali matakwa ya umma, ni juu yao kujua kuwa wapiga kura wengi hatuna tena imani na tume hii iliyopo ya uchaguzi, na hata wakipatikana viongozi chini ya tume hii, watukuwa viongozi kwa mujibu wa sheria, lakini hawatakuwa na uhalali wa umma.
Madhara ya kuwa na viongozi walio kisheria bila uhalali wa umma, sio rahisi kiongozi asiye na uhalali wa umma kushawishi jamii kushiriki shuguli za maendeleo. Ni nadra kiongizi asiye na uhalali kutoa tamko/amri na watu wakatii. Kiongozi huyo ataoongoza jamii yenye mpasuko na isiyomuheshimu. Kiongozi aliyepatikana bila ridhaa umma atajikuta akitawala kwa mabavu zaidi kuliko ushawishi na maelewano. Mifano ya kuongoza watu bila ridhaa yao, nadhani uliona watu wakivyofurahia timu ya taifa kufungwa huko Afcon baada ya Makonda kujihusisha na timu. Nadhani unaona watu wanavyofurahia majanga kwa taifa lao na kukosekana mshikamano. Kwa sasa kuna janga la corona, lakini mwitikio wa kuchangia hauna hamasa iliyokuwa huko nyuma, bali mwitikio ni wa hofu ya kimamlaka kuliko ridhaa ya watu. Tutafika mahali hata kuzikana tutaangaliana ww ni nani, sherehe nk. Hizi ni baadhi tu athari za kuongoza bila ridhaa ya wananchi. Huko tutakwenda,na serikali itakayotawala katika mazingira hayo haitapata uungwaji mkono wa kweli,labda ule wa kinafiki kama sasa, hali hiyo haitamuacha yoyote na furaha, kuanzia kiongozi wala mwananchi wa kawaida zaidi ya watu kutumia huduma zilizopo, bila kuappreciate chochote zaidi ya kubeza.
Tume ipo kwa mujibu wa katiba sasa kama mnataka mabadiriko ya tume anzeni na katiba itakayobeba hayo yoteUnachekesha walionunua. Hiyo tume haijawahi kuwa huru, na hicho ni kilio cha toka mfumo wa vyama vingi urudi hapa nchini. Hizo kura 6m japo zilitangazwa lakini bado watu hatukuridhika, kwani kuna vituo vingi tu kilichokuwa kinatangazwa na tume sio kilichokuwa vituoni. Toka ameingia Magufuli madarakani tumeona kwa macho yetu uhayawani na ukatili wa wazi ili mgombea wa ccm atangazwe mshindi. Na yote hayo ni kutokana na tume kutokuwa huru.
Hata huko ulaya wameleta mfumo wa VAR kwenye soka, sio kwamba mshindi alikuwa hapatikani, bali wanataka mshindi apatikane pasipo kuacha shaka. Kama mnashinda kihalali, hofu ya tume kutokuchaguliwa na mwenyekiti wa ccm inatoka wapi?
Hivi chadema na vyama vya upinzani hoja ya kujitoa kwenye ule uchaguzi ilikuwa ni kwa sababu ya wananchi kugoma kwenda kujiandikisha?
Kwa kumbukumbu zangu hoja yao ilikuwa ni wagombea wao kuenguliwa kimizengwe na kama ccm isingewaengua wale wagombea chadema na vyama vyote wangeshiriki na wala hiyo hoja ya kwamba mligoma kujiandikisha haina mashiko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tume ipo kwa mujibu wa katiba sasa kama mnataka mabadiriko ya tume anzeni na katiba itakayobeba hayo yote
Sent using Jamii Forums mobile app