Mbadala wa CHADEMA ni CCM wala sio NCCR

Jengeni hoja matusi ayasaidii hapo ndo ccm mnaoneka empty. Kumkosoa sugu most voters Tz nzima 2015 nikukosa hoja za msingi.
 
Kuna watu wanaamini kabisa Magufuli ndie jini aliekuja kuiua CDM, naisubiri kwa hamu sana hiyo siku ya kupiga,kura na kutangaza matokeo, iwepo tume huru au isiwe....nasisitiza tena, ninazisubiri kwa hamu sana hizo siku mbili.

Wengine wanaenda mbali kuamini NCCR itakuwa mbadala wa CDM bungeni, kama CDM nae ataweka wagombea kwenye hayo majimbo wanayoamini NCCR itashinda, basi nafasi ya kushinda CDM ni kubwa zaidi ya NCCR, na hata CCM wenyewe, ni suala la kupiga kura na kuzuia njia za wizi wa kura (CDM wajue namna ya kulinda kura zao).

Hata kama NCCR inategemea kubebwa, lazima wajiulize maswali ya msingi kama wamejiandaaje kubebwa?!, wakibebwa watabebeka?, na hili sio suala la kutoa na kuweka tu, kama wengi wanavyodhani/fikiri.

Kwa nafasi waliyonayo NCCR sasahivi ni vigumu sana NCCR kusimama mbele ya CDM kama chama kikuu cha upinzani nchini, hapa tusidanganyane, CDM watabaki chama kikuu cha upinzani hata kama wakiwa na wabunge watano, na kuna majimbo hata CCM wakiungana na NCCR balaa watalo kutana nalo toka CDM hawataamini.

Simply, CDM needs to go with their cylinders all out blazing, halafu tutaona hiyo Nov kama "mungu" wao atawasaidia, watanzania sio wajinga tena, hata Magufuli mwenyewe analijua hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sera ya kupambana na mafisadi ilikua ngazi kubwa sana iliyoleta hamasa ya mabadiliko,hivi ilishia wapi ?
au mafisadi wamekwisha ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sasa hivi CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO aka chadema ndio hasa watetezi wa rugemalira na seth singh.
Ushahidi ni hotuba za kambi rasmi ya upinzani bungeni kwa sasa.
Tafuta clip za utube zote utawasikia.
Ogopa this peoples from there

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi umemalizia hoja yako kwa kusema Namba hazidanganyi
sasa tunaomba utapatie formula iliyotumika kupata hizo asilimia zilizo ekezwa kwa vijana kwani nina wasiwasi huna uelewa wa 70% ya population ya vijana tulio nao TZ
 
Cdm ya new generation ccm ya wazee na kina mama wanaongopewa kirahisi.
 
Ishu si utetezi ishu mchakato usio wa haki ,swali alipiga mwenyewe vipi maofisa wa serikali walioshirikiana nae kupiga vipi walionufaika na kupiga wao kwann wako nje.Pili kumshikilia mtu ndani miaka 5 ukisubiri upelelezi ambao hata miaka 60 hautokamilika ni kinyume na haki za binadamu pili ni matumizi mabaya ya Kodi zetu.Hamna kesi pale Kama wahusika wengine wako nje kitakachofanyika ni watakaa ndani then DPP atawaachia kesi za uhujumu uchumi ushahidi wake huwa ni vigumu kuupata na Hadi ukikaa ndani miaka 60 huwezi pata ushahidi labda tu labda tu ukubali kuununua Uhuru wako ukae nao meza moja kisha ukubali kosa hata Kama ukutenda ili uwe huru.Kinachowatesa hao ni kutokubali kuununua Uhuru wao maana yule bwana anachotaka ni kuabudiwa wakishamuabudu tu na kumpa heshima yake kesho tu wako nje.
Pana Jana elf 20 tu alipigwa uhujumu uchumi infact hakutenda Bali hakupewa nafasi ya kusikilizwa ili upate nafasi ya kusikilizwa yaani kupata haki yako ni lzm utakaa ndani miaka alikaa miezi 8 ndani akapima kipi Bora Kati ya familia nje na kukaa ndani miaka huku familia ikiteketea ukisubiria haki yako akaona akiri kosa ili apoteze kazi na kuepusha kukaa miaka akakiri akatozwa millioni moja na nusu na kazi ikaisha yuko huru nje anapambana na biashara kuokoa familia mambo yanakwenda.
Hawa wazee hawana cha kupoteza ni maamuzi yao wausujudie msalaba waubusu au la.Wote waliotoka walikubali kuubusu msalaba msalaba ukitakacho ni kusujudia tu then unakuwa huru.Huwezipewa kesi ya uhujumu uchumi ukiwa na chapa.
 
Ccm ni tindo bila nyundo upinzani haiwezi fanya kazi kumbuka ccm inatekeleza sera za upinzani.Apingae upinzani apendi maendeleo
 

Haya ni mawazo ya bendera fuata upepo. Yaani kwa maneno marahisi, unatapika propaganda mfu unazozisikia kwa wanaume wenzio, na ww unazirudia humu kama zuzu.
 
Hakuna mbadala hata ccm inajua ndio maana inahangaika kuwafunga viongozi wa chadema kwa kesi za kitoto mwenye bunduku asishtakiwe eti ashtakiwe asiye hata na fimbo kwa kifo cha risasi Chadema ipo tu nunua wabunge,madiwani siasa za kishamba

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Unachekesha walionunua. Hiyo tume haijawahi kuwa huru, na hicho ni kilio cha toka mfumo wa vyama vingi urudi hapa nchini. Hizo kura 6m japo zilitangazwa lakini bado watu hatukuridhika, kwani kuna vituo vingi tu kilichokuwa kinatangazwa na tume sio kilichokuwa vituoni. Toka ameingia Magufuli madarakani tumeona kwa macho yetu uhayawani na ukatili wa wazi ili mgombea wa ccm atangazwe mshindi. Na yote hayo ni kutokana na tume kutokuwa huru.

Hata huko ulaya wameleta mfumo wa VAR kwenye soka, sio kwamba mshindi alikuwa hapatikani, bali wanataka mshindi apatikane pasipo kuacha shaka. Kama mnashinda kihalali, hofu ya tume kutokuchaguliwa na mwenyekiti wa ccm inatoka wapi?
 

Ccm itashinda tu kwa uwezo gani, hayo majeshi huko Egypt au Sudan hayakuwepo?
 
Kwahiyo mpaka sasa hivi hii tume huru ya uchaguzi mkishaandika hapa mashabiki kadhaa kwamba "tunataka tume huru"
Basi ndio mmeshadai hivyo, na mnaanza kusubiri utekelezaji wa uundwaji wa tume huru?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi chadema na vyama vya upinzani hoja ya kujitoa kwenye ule uchaguzi ilikuwa ni kwa sababu ya wananchi kugoma kwenda kujiandikisha?

Kwa kumbukumbu zangu hoja yao ilikuwa ni wagombea wao kuenguliwa kimizengwe na kama ccm isingewaengua wale wagombea chadema na vyama vyote wangeshiriki na wala hiyo hoja ya kwamba mligoma kujiandikisha haina mashiko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tume ipo kwa mujibu wa katiba sasa kama mnataka mabadiriko ya tume anzeni na katiba itakayobeba hayo yote

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ni kweli mizengwe ya wazi ilichangia vyama kutangaza kujitoa, lakini sababu hasa hata hivyo vyama vilijua fika ukiachia mizengwe iliyokuwepo, watu wengi hawakuwa wamejiandikisha, na wengi ni wapiga kura wa upinzani. Hivyo hivyo vyama vikaona havina haja ya kushiriki mchakato haramu, ambao hata wapiga kura wake wasingeshiriki.
 
NCCR ilishakufaga zamani za kale enzi za Mabere Marando, Masumbuko Lamwai na King Lyatonga Mrema kule timwili la Tanga......nashangaa kuniambia ati leo kuna NCCR chama cha siasa laah
 
Tume ipo kwa mujibu wa katiba sasa kama mnataka mabadiriko ya tume anzeni na katiba itakayobeba hayo yote

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuwepo kwa mujibu wa katiba hiyo haimaanishi kuwa ni tume huru. Magufuli sio mtu anayetii katiba, hasa katiba hii ambayo inamuweka juu ya sheria na katiba. Katiba iko pending na sababu hasa ni yeye haitaki kwa sababu zake binafsi, hata kama ccm waliichakachua. Hatuna tatizo na kusubiri hiyo katiba mpya, kuliko kushiriki huu uhuni uitwao uchaguzi. Cdm wao kama chama wanaweza kushiriki hilo watajua wao, ila sisi wapiga kura tunaojitambua hatuwezi kushiriki huo ushenzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…