Mbadala wa Tesla Model 3 kutoka China kwa Tsh Mil 45 tu!

Mbadala wa Tesla Model 3 kutoka China kwa Tsh Mil 45 tu!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Xpeng Mona Mo3 ni compact electric sedan, ilioletwa kwa wapenzi wa sedan ambao hawawezi kuafford Tesla Model 3 ambayo ni mara 2 zaidi kwa bei.
a9002885cf84d5a897f069852c4c938-scaled.jpg

Design yake imefocus zaidi kwenye aerodynamics, kwani ina drag coefficient ya 0.194 ambayo hadi sasa ndio ndogo kuzidi sedan yoyote iliowahi kutengenezwa (mass produced achana na concepts)!
IMG20240904121158.jpg

Gari inakuja na battery kutoka BYD (FinDream) yenye uwezo wa 62 kWh, ambayo inaweza kukufikisha hadi range ya kilometa 620, hii inachangiwa na drag coefficient na uzito wake wa wastani Kg 1,700!
Pia inakuja na motor either 140 kW au 160 kW.
IMG20240904115902.jpg

Ndani haina mambo mengi, ina display ya 15 inch, audio system (7.1.4), hidden air vents na mazaga mengine.
IMG20240904115948.jpg

Baadhi ya features zinazokuja standard ni Driving Assist Level 2, Adaptive Cruise Control, eyeline camera (hii ni camera inayotoa alert flani endapo dereva atakua distracted kuangalia pembeni au kutoa mikono kwenye usukani, kuna siku Nyani Ngabu alitoa uzi flani "Je gari lako limewahi kukuambia hivi?")!, lane keeping assistance, automatic emergency braking, 360-degree camera, blind spot monitoring, ESC, na vinginevyo..

IMG_20240904_213332.jpg

Najua Mil 45 bado ni hela kubwa sana kwa wengi wetu, lakini gari mpya kuuzwa hii bei ni nafasi nzuri kwetu wazee wa used kwani ndani ya miaka 2 inaweza depreciate hadi 60% ikawa chini ya mil 20. Sasa imagine 5 years.
IMG20240904120331.jpg

Bado makampuni mengi ya magari yanaagiza tu magari kutoka Japan kuingiza Tanzania, siku yatakavyoanza kutoa magari China ndio siku ambayo EV zitazagaa mjini. (Mtazamo binafsi)!
 
Maswali kwa Watanzania wengi ni kuhusu ustahimilivu wa gari za Kichina? Je gari za kichina zinaweza kustahimili Barabara zetu kama ilivyo kwa gari za Kijapani?

Huu mtego ukiteguliwa, naona kabisa Soko la uagizaji magari soon linahamia china.
 
Maswali kwa Watanzabia wengi ni kuhusu ustahimilivu wa gari za Kichina? Je gari za kichina zinaweza kustahimili Barabara zetu kama ilivyo kwa gari za Kijapani?

Huu mtego ukiteguliwa, naona kabisa Soko la uagizaji magari soon linahamia china.
Fact
 
Maswali kwa Watanzania wengi ni kuhusu ustahimilivu wa gari za Kichina? Je gari za kichina zinaweza kustahimili Barabara zetu kama ilivyo kwa gari za Kijapani?

Huu mtego ukiteguliwa, naona kabisa Soko la uagizaji magari soon linahamia china.
Kweli huu utata.
 
NISIWACHOSHE KWA UZI MWINGINE

Vita kwa Tesla inaendelea, kuna kampuni jingine kutoka Brazil wanaitwa Lecar nao wametoa copy nyingine ya Model Y inaitwa Lecar 459 Hybrid.
2lerd43b0ph8lv_800.jpg

Hii ni REEV crossover, ambayo full charge na full tank inaenda hadi Kilometa 1000 kwa $27,000/= tu.
images.jpeg
 
NISIWACHOSHE KWA UZI MWINGINE

Vita kwa Tesla inaendelea, kuna kampuni jingine kutoka Brazil wanaitwa Lecar nao wametoa copy nyingine ya Model Y inaitwa Lecar 459 Hybrid.
View attachment 3098983
Hii ni REEV crossover, ambayo full charge na full tank inaenda hadi Kilometa 1000 kwa $27,000/= tu.
View attachment 3098984
Hili linakunywa mafuta pamoja na umeme, si ndiyo?
 
Unazidi kunichanganya sasa, EV ndio unachaji sio, na zina vituo vya kuchaji kama zilivyo sheli si ndio??
Okay ngoja nijaribu kuandika kidogo.

Magari ya umeme (EV) yapo ya sina tatu tukiweka kwa urahisi.

1. EV (Wengine wanayaita BEV yaani Battery Electric Vehicle)

Hili ndio rahisi kuelezea. Kwamba badala ya engine lenyewe lina battery ambayo unaichaji. Battery inaipa nguvu motor ambayo inazungusha matairi gari linatenmbea. Kwa urahisi n kama ivo. Mfano Tesla Mode 3.

2. Hybrid na PHEV (Plugin Hybrid Electric Vehicle)

Hybrid zipo za aina mbili, hybrid ya kawaida na iyo PHEV

Hybrid ya kawaida yenyewe ina engine kama magari mengine, lakini pia ina battery kubwa (hybrid battery). Usichanganye hii battery na ile battery ya kawaida ambayo kila gari inayo. Kwahiyo gari linavotembea linatumia engine na battery zamuzamu au vyote kwa pamoja. Battery linachajiwa kwa brake regenerative system au engine inavizunguka inaichaji. Hizi zinaweza kutembea kwa umeme tu (EV mode) kilometa chache mfano 5 tu battery linaisha nguvu engine inajiwasha automatically. Mfano Toyota Aqua.

PHEV yenyewe kama maelezo ya juu, lakini una option ya kuichaji battery lake kwa umeme kama EV ndio maana neno Plugin. Kwahiyo inaweza kutembea kwa EV ata kilometa 50 kwenda mbele. Mfano Toyota Prius Prime.


3. REEV (Range Extended Electric Vehicle)

Hizi nazo zipo kama EV za kuchaji lakini pia zina engine ila hii engine haifanyi kazi kama hybrid Ila engine ina act kama generator.

Kazi ya engine (generator) ni kuichaji battery ikiisha power tu.

Mfano, unatoka home unaenda Mwanza na REEV yako iko full chaji na full tank. Labda gari yajo ikiwa full chaji inatembea kilometers 500. Unatoka Dar una 100% chaji unafika Dodoma una 20% basi gari automatically inaiwasha generator uku we unaendelea kuendesha na kuchaji battery kwa muda kadhaa labda hadi 80% kisha inajizima uku we unaendesha na ata kujua unaweza usijue au ukaona sauti kidogo inechange.

Hii inaepelekea gari kuweza kutembea hadi km 1000+ ukiwa full charge na full tank.

Mfano gari za LiAuto L9
 
Okay ngoja nijaribu kuandika kidogo.

Magari ya umeme (EV) yapo ya sina tatu tukiweka kwa urahisi.

1. EV (Wengine wanayaita BEV yaani Battery Electric Vehicle)

Hili ndio rahisi kuelezea. Kwamba badala ya engine lenyewe lina battery ambayo unaichaji. Battery inaipa nguvu motor ambayo inazungusha matairi gari linatenmbea. Kwa urahisi n kama ivo. Mfano Tesla Mode 3.

2. Hybrid na PHEV (Plugin Hybrid Electric Vehicle)

Hybrid zipo za aina mbili, hybrid ya kawaida na iyo PHEV

Hybrid ya kawaida yenyewe ina engine kama magari mengine, lakini pia ina battery kubwa (hybrid battery). Usichanganye hii battery na ile battery ya kawaida ambayo kila gari inayo. Kwahiyo gari linavotembea linatumia engine na battery zamuzamu au vyote kwa pamoja. Battery linachajiwa kwa brake regenerative system au engine inavizunguka inaichaji. Hizi zinaweza kutembea kwa umeme tu (EV mode) kilometa chache mfano 5 tu battery linaisha nguvu engine inajiwasha automatically. Mfano Toyota Aqua.

PHEV yenyewe kama maelezo ya juu, lakini una option ya kuichaji battery lake kwa umeme kama EV ndio maana neno Plugin. Kwahiyo inaweza kutembea kwa EV ata kilometa 50 kwenda mbele. Mfano Toyota Prius Prime.


3. REEV (Range Extended Electric Vehicle)

Hizi nazo zipo kama EV za kuchaji lakini pia zina engine ila hii engine haifanyi kazi kama hybrid Ila engine ina act kama generator.

Kazi ya engine (generator) ni kuichaji battery ikiisha power tu.

Mfano, unatoka home unaenda Mwanza na REEV yako iko full chaji na full tank. Labda gari yajo ikiwa full chaji inatembea kilometers 500. Unatoka Dar una 100% chaji unafika Dodoma una 20% basi gari automatically inaiwasha generator uku we unaendelea kuendesha na kuchaji battery kwa muda kadhaa labda hadi 80% kisha inajizima uku we unaendesha na ata kujua unaweza usijue au ukaona sauti kidogo inechange.

Hii inaepelekea gari kuweza kutembea hadi km 1000+ ukiwa full charge na full tank.

Mfano gari za LiAuto L9
Apo nimekupata mno mno mkuu.

Tech inakua sana aisee
 
Okay ngoja nijaribu kuandika kidogo.

Magari ya umeme (EV) yapo ya sina tatu tukiweka kwa urahisi.

1. EV (Wengine wanayaita BEV yaani Battery Electric Vehicle)

Hili ndio rahisi kuelezea. Kwamba badala ya engine lenyewe lina battery ambayo unaichaji. Battery inaipa nguvu motor ambayo inazungusha matairi gari linatenmbea. Kwa urahisi n kama ivo. Mfano Tesla Mode 3.

2. Hybrid na PHEV (Plugin Hybrid Electric Vehicle)

Hybrid zipo za aina mbili, hybrid ya kawaida na iyo PHEV

Hybrid ya kawaida yenyewe ina engine kama magari mengine, lakini pia ina battery kubwa (hybrid battery). Usichanganye hii battery na ile battery ya kawaida ambayo kila gari inayo. Kwahiyo gari linavotembea linatumia engine na battery zamuzamu au vyote kwa pamoja. Battery linachajiwa kwa brake regenerative system au engine inavizunguka inaichaji. Hizi zinaweza kutembea kwa umeme tu (EV mode) kilometa chache mfano 5 tu battery linaisha nguvu engine inajiwasha automatically. Mfano Toyota Aqua.

PHEV yenyewe kama maelezo ya juu, lakini una option ya kuichaji battery lake kwa umeme kama EV ndio maana neno Plugin. Kwahiyo inaweza kutembea kwa EV ata kilometa 50 kwenda mbele. Mfano Toyota Prius Prime.


3. REEV (Range Extended Electric Vehicle)

Hizi nazo zipo kama EV za kuchaji lakini pia zina engine ila hii engine haifanyi kazi kama hybrid Ila engine ina act kama generator.

Kazi ya engine (generator) ni kuichaji battery ikiisha power tu.

Mfano, unatoka home unaenda Mwanza na REEV yako iko full chaji na full tank. Labda gari yajo ikiwa full chaji inatembea kilometers 500. Unatoka Dar una 100% chaji unafika Dodoma una 20% basi gari automatically inaiwasha generator uku we unaendelea kuendesha na kuchaji battery kwa muda kadhaa labda hadi 80% kisha inajizima uku we unaendesha na ata kujua unaweza usijue au ukaona sauti kidogo inechange.

Hii inaepelekea gari kuweza kutembea hadi km 1000+ ukiwa full charge na full tank.

Mfano gari za LiAuto L9
Umenifungua macho mkuu.
 
Back
Top Bottom