Mbadala wa "Viagra" ni juisi ya kokomanga

Aaaaah! Sasa wewe Rutashubanyuma una maana sisi wazee wa muji hatutakiwi kutumia hii kitu? Au hata tukitumia hatutafaidi kama wafaidivyo vijana? Hebu weka records straight kabla sija break news kwa mtani wa jadi kuhusu manufaa ya hii kitu.

Tata kama yake majambozi bado unayaweza basi wewe bado kijana......kwa hiyo ondoa khofu kabisa kanywe haya majuisi khalafu utanisimulia mabadiliko utakayoyaona............................[MENTION]@tata[/MENTION]
 
aaggghh....hii sasa hii....PJ....hujala kukumanga......?
uko wapi nikuletee.....tena zimezaa kweli mwaka huu.....
zaidi ya viagra....ni lizuri kweli kwa tumbo......

mnapaswa mle wote kama ni wewe tu utamwelemea huyu PJ...............[MENTION]Preta, PakaJimmy[/MENTION]
 
Last edited by a moderator:
pokea kesho kwenye Saibaba.....

lengo kwani hulijui...........anataka umpelekee wewe mwenyewe mkono kwa mkono khalafu mengineyo mtajaza mkikutana kule...........[MENTION]@preta[/MENTION]
 
Mkuu Ruta,

Unaweza kuchanganya na matunda mengine eg Embe,Papai,Nanasi ......?.Unajua nilijaribu kutafuna mbuge zake ziana uchungu uchungu bila shaka ukichanganya na matunda mengine bila kuongeza sukari.


 
Sisi nyumbani imeoteshwa kama fence nakumbuka nikiwa mdogo ndo nilikuwa naipendelea sana kumbe babu alikuwa mjanja sana
 
hivi Viagra inatumiwa na wanawake pia....?

nimeuliza tu......

mbona unajihami hivyo preta? Tunajua umeuliza tu na kuuliza siyo ujinga....................wao wanadai kuwa inafanya kazi ya
it is also produced in female adrenal glands and ovaries, raising a woman's sex drive and strengthening bones and muscles.

mbali ya kuongeza hamu ya tendo......................hata akina mama wengine wako frigid wanahitaji hii juisi iwajenge kaa mbali na viagra ina madhara makubwa hasa kwenye moyo kwa kuharakisha mzunguko wa damu na wengi kushindwa kuhimili vishindo vyake............[MENTION]@preta[/MENTION]


 
Mkuu Ruta,

Unaweza kuchanganya na matunda mengine eg Embe,Papai,Nanasi ......?.Unajua nilijaribu kutafuna mbuge zake ziana uchungu uchungu bila shaka ukichanganya na matunda mengine bila kuongeza sukari.

Rukhsa ngongo ili mradi hakikisha kila kitu ni natural/asilia kabisa kaa mbali na additives zinapunguza ubora wake..........[MENTION]@ngongo[/MENTION]
 
Limejaa tele kwenye bustani binafsi katika maeneo ya mkoa wa pwani na Dar-es-Salaam yake

Linaitwa komamanga
Thanks mkuu. Nitanunua nikapande shambani kwangu na mimi.
 
Na hivi nina miti minne namuonea huruma shemeji yenu
Mwanzo niliacha watoto wawe wanakuja kuchuma
Kuanzia leo full stoooop
OTIS

OTIS acha kunichekesha kabisa..........hii juisi wafikiri utakunywa na nani? hupaswi kunywa pekee yako [MENTION]@OTIS[/MENTION]
 
Ruta mbona unatupeleka mbali kuhusu hii tiba mbadala kweye 6x6? Ngoja niwape issue, mimi huwa napata Samaki wa Foil hapa Ma****ko baa ndani ya A-Town natumaini PJ na Preta wanapapata, nikishashiba nashushia na CastleLite mbili bariidi naMix na Valdimiri za pakti mbili, halafu tunaingia ndani ya 18! Jaribu halafu niPM unipe matokeo! Usuzidishe zaidi ya hii doze! otherwise utamuuzi mamaa.
 
Mkuu Ruta,

Unaweza kuchanganya na matunda mengine eg Embe,Papai,Nanasi ......?.Unajua nilijaribu kutafuna mbuge zake ziana uchungu uchungu bila shaka ukichanganya na matunda mengine bila kuongeza sukari.

ulikula mbichi wewe....siku nyingine tafuta iliyowiva......
kama za kiswahili huziwezi....kuna za kutoka ng'ambo....jaribu hizo......

 

na pia mara moja moja....tupia na kitu cha....uji wa shanga.....
 

Nakumbuka MC Lema alitumia Viagra moyo ukaenda mbio hadi akafia guest akamwacha mwali anashangaa badala ya starehe ikawa karahaa.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…