Head current
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 479
- 128
Yah, kuna mafisi. Ulishafika pale?kwan uwanja wa fisi kuna fisi ?
Hahaaa umeufukua wapi huu uzi? Mwenyewe kama yupo hai atakuwa keshausahau.Majitu yote humu ni majinga. Hayajui jibu hadi leo.
Yaah nlshawah fika pale kufanya biashara lkn sikuwaona.
Duh! Kwa hofu uliyokuwa nayo usingeweza kuyaonayaah nlshawah fika pale kufanya biashara lkn sikuwaona.
Afu kunaga sehemu inaitwa "simu 2000", najiulizaaaga![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ss wengine tunapita
eti wakuu kwa wanaofahamu mbagala kuna sehemu inaitwa mbagala rangi tatu hivi huwa najiuliza ni rangi gani na gani? iyo mbagala rangi tatu? nisaidieni bandugu......