Akili za mwafrika ndio hiziMchicha kweli ni mboga ya kununua alfajir kweli saa tisa
Ahhahaha mm sio chotaraAkili za mwafrika ndio hizi
Muhuni huyo, anaamanisha mchiba mwiba ( wasenge)....Mchicha kweli ni mboga ya kununua alfajir kweli saa tisa
Asante kunifungua akiliMuhuni huyo, anaamanisha mchiba mwiba ( wasenge)....
Katika eneo ambalo linaendana huduma masaa 24 basi Mbagala Zakhiem pale ni kiboko sijawahi kuona,
Nilishawahi kutokea Mtwara nikasimama pale saa 9 usiku, nikapata.mchicha fresh,samaki fresh,matunda na mahitaji mengine utasema mchana, wale jamaa wanamaanisha maana ya jiji linavyotakiwa kuwa pale ni kiboko.