Mbagala Zakhiem paheshimiwe sana pana maajabu yake

Mbagala Zakhiem paheshimiwe sana pana maajabu yake

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,491
Reaction score
12,560
Katika eneo ambalo linaendana huduma masaa 24 basi Mbagala Zakhiem pale ni kiboko sijawahi kuona,

Nilishawahi kutokea Mtwara nikasimama pale saa 9 usiku, nikapata.mchicha fresh,samaki fresh,matunda na mahitaji mengine utasema mchana, wale jamaa wanamaanisha maana ya jiji linavyotakiwa kuwa pale ni kiboko.
 
ukiona sehemu watu hawalali 24/7 wanazisaka hiyo ni ishara hapo kuna pesa, wachagga na wakinga mmepasahau sana mbagala nendeni mkafanye biashara aseeeh!
 
ukiona sehemu watu hawalali 24/7 wanazisaka hiyo ni ishara hapo kuna pesa, wachagga na wakinga mmepasahau sana mbagala nendeni mkafanye biashara aseeeh!
Pako poa
 
Katika eneo ambalo linaendana huduma masaa 24 basi Mbagala Zakhiem pale ni kiboko sijawahi kuona,

Nilishawahi kutokea Mtwara nikasimama pale saa 9 usiku, nikapata.mchicha fresh,samaki fresh,matunda na mahitaji mengine utasema mchana, wale jamaa wanamaanisha maana ya jiji linavyotakiwa kuwa pale ni kiboko.

Mbona hujamalizia...ulipata na makonde mwenzako fresh akiwa ametokea Ntwara 😂 😂 😂 😂
 
Mbagala ni mtaa wa watu masikini sana.ndo maana hawalali.hebu njoeni masaki tunalala saa mbili na hata kibaka hakatizi walinzi kama wote na difenda linapaki
 
Back
Top Bottom