Mbali na kukaa BBC miaka kibao! Naye hawezi kumshauri Rais? Watanzania na mkate!!? Mmh

Mbali na kukaa BBC miaka kibao! Naye hawezi kumshauri Rais? Watanzania na mkate!!? Mmh

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Nchi imekwama, kila kitu kimekwama, si maji wala umeme, si mvua wala chakula, si biashara wala viwanda,

Kila unapogusa pa moto,

Alipoteuliwa huyu dada yetu jina kapuni kwenda kukaa Ikulu yetu kutokea hapo BBC nikajua walau mambo yatakuwa sawa, tutatembea ki Uwingereza wingereza!

Kipindi cha JPM, tarifa zote mbaya kuhusu watanzania, zilianikwa na huyu binti, kila tarifa ya wananchi kufa njaa zilianikwa njenje na zingine za uwongo tu ili mradi watimize walichokuwa wakikitumikia

Mungu naye ni wa ajabu, kamleta sasa akae hiyo hiyo Ikulu aliyokuwa akiichambua, mambo ndo yameharibika zaidi na yeye yupo!

Sifahamu Kwa nini kwa sasa BBC hawajadili sana kuhusu maji, umeme, kupanda Kwa gharama za maisha, bidhaa za ndani kuwa juu hadi kilele cha mlima Kilimanjaro! Soda kufikia 700 ili hali inazalishwa hapa?

Ahaa! Dawa ya BBC ili wasiuseme utawala wako, ni mmoja wao kumsogeza Ikulu siyo?

Dada, mshaurini Mh Rais wetu, maana kina nyinyi, tulidhani mkiwa hapo Ikulu, mambo yatakuwa mazuri, kumbe hakuna tofauti kabisa, na ni afadhari ya wabongo wanaoyaishi maisha haya haya wanauafadhari kulikoni nyinyi mliozoelea cha wazungu, Kazi kutusimanga na kutusema bule!
 
Hivi Rais hana Macho ?

Mbona wakati anaupiga mwingi hatumshukuru fulani kwa kumshauri katika upigaji mwingi ?

Kwahio kama limekorogwa ni yeye apate lawama zote kama vile tunavyomsifu mambo yakienda sawia.....

Hapa Lawama zipo collective (kila mbunge na mwana CCM na mtu aliyepo kwenye CCM anahitaji lawama) kama vile wale wanaopinga awamu ya TANO basi lawama pia zimfikie Samia (sababu alikuwepo) pili kuna lawama individually ambazo Samia ana Hisa kwa kila baya linalotokea (ndio kazi ya kuwa Nahodha)
 
Are you mad au vipi mkuu??

Mkuu wa Press Ikulu amshauri Rais mambo ya Kitaifa?.

Labda kama Samia na Zuhura ni "mashoga" wanaopigaga soga pamoja..but still it's imposible na haitakuwa serious..Rais hashauriwi hivyo
 
Dada, mshaurini Mh Rais wetu, maana kina nyinyi, tulidhani mkiwa hapo Ikulu, mambo yatakuwa mazuri, kumbe hakuna tofauti kabisa, na ni afadhari ya wabongo wanaoyaishi maisha haya haya wanauafadhari kulikoni nyinyi mliozoelea cha wazungu, Kazi kutusimanga na kutusema bule!
Hivi mkurugenzi wa habari wa Ikulu ndiye mshauri wa Rais? Tutakuwa tunamsingizia, maza anashauriwa kutokea Msoga!
 
Are you mad au vipi mkuu??

Mkuu wa Press Ikulu amshauri Rais mambo ya Kitaifa?.

Labda kama ni Samia na Zuhura ni "mashoga" wanaopigaga soga pamoja..but still it's imposible.
Hata mimi nimeshangaa!
 
Hakika hata mimi huwa nashangaa sana maana nilitegemea dada yule kuwekwa pale aje alete ubunifu na weledi aliopata huko bbc lakini ni kama mfumo umemmeza.

Yuko anakunywa chai na mkate lakini inawezekana unapotoa proffessional advice ikapuuzwa basi unaamua unakaa kimya ukisubiri marupurupu tuu posho.
 
Sidhani kama ni majukumu yake kumshauri mkuu wa nchi, kuna watu wapo kwa kazi hiyo, washauri wa uchumi, siasa nk. Raisi hashauriwi kihunihuni au rejareja tu. Kuna platforms za kumshauri lakini wapo watu mahsusi kwa kazi hiyo.

She's rather failed miserably!!
 
Hivi Rais hana Macho ?

Mbona wakati anaupiga mwingi hatumshukuru fulani kwa kumshauri katika upigaji mwingi ?

Kwahio kama limekorogwa ni yeye apate lawama zote kama vile tunavyomsifu mambo yakienda sawia.....

Hapa Lawama zipo collective (kila mbunge na mwana CCM na mtu aliyepo kwenye CCM anahitaji lawama) kama vile wale wanaopinga awamu ya TANO basi lawama pia zimfikie Samia (sababu alikuwepo) pili kuna lawama individually ambazo Samia ana Hisa kwa kila baya linalotokea (ndio kazi ya kuwa Nahodha)
Macho anayo, kama ana akili na uwezo ni swala jingine
 
Nchi imekwama, kila kitu kimekwama, si maji wala umeme, si mvua wala chakula, si biashara wala viwanda,

Kila unapogusa pa moto,

Alipoteuliwa huyu dada yetu jina kapuni kwenda kukaa Ikulu yetu kutokea hapo BBC nikajua walau mambo yatakuwa sawa, tutatembea ki Uwingereza wingereza!

Kipindi cha JPM, tarifa zote mbaya kuhusu watanzania, zilianikwa na huyu binti, kila tarifa ya wananchi kufa njaa zilianikwa njenje na zingine za uwongo tu ili mradi watimize walichokuwa wakikitumikia

Mungu naye ni wa ajabu, kamleta sasa akae hiyo hiyo Ikulu aliyokuwa akiichambua, mambo ndo yameharibika zaidi na yeye yupo!

Sifahamu Kwa nini kwa sasa BBC hawajadili sana kuhusu maji, umeme, kupanda Kwa gharama za maisha, bidhaa za ndani kuwa juu hadi kilele cha mlima Kilimanjaro! Soda kufikia 700 ili hali inazalishwa hapa?

Ahaa! Dawa ya BBC ili wasiuseme utawala wako, ni mmoja wao kumsogeza Ikulu siyo?

Dada, mshaurini Mh Rais wetu, maana kina nyinyi, tulidhani mkiwa hapo Ikulu, mambo yatakuwa mazuri, kumbe hakuna tofauti kabisa, na ni afadhari ya wabongo wanaoyaishi maisha haya haya wanauafadhari kulikoni nyinyi mliozoelea cha wazungu, Kazi kutusimanga na kutusema bule!
Kule BBC alikuwa anafanya kazi ya ushauri?
 
Tusubiri ushauri mikutano ya upinzani itakapoanza!
Ndipo ya Bashiru yatakapo eleweka
Maza atabaki na Policcm
 
Back
Top Bottom