Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Mbowe amekuwa kama Sukuma gang lia lia, kazi ni kuongelea legacy tu, utafanyia nini chama.... aaah unajua nimetoa damu na kamasi kwenye chama hiki, nipeni niwaongoze tena

Mchango tumesikia hadi tumechoka, afu sio yeye tu ndio amejenga chama, ni kama alijeng mwenyewe kila kitu bila kusaidiwa na mtu.
Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?
Utawafanyia nini CHADEMA kusoga mbele, ni kuwaimbia hiyo legacy?
Lissu anakuja kumpasua vipande vipande, ni fezea🥹🥹
Mbowe amekuwa kama Sukuma gang lia lia, kazi ni kuongelea legacy tu, utafanyia nini chama.... aaah unajua nimetoa damu na kamasi kwenye chama hiki, nipeni niwaongoze tena

Mchango tumesikia hadi tumechoka, afu sio yeye tu ndio amejenga chama, ni kama alijeng mwenyewe kila kitu bila kusaidiwa na mtu.
Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?
Utawafanyia nini CHADEMA kusoga mbele, ni kuwaimbia hiyo legacy?
Lissu anakuja kumpasua vipande vipande, ni fezea🥹🥹
