Mbao FC na Mwadui FC.. Tunakuja Kuchukua Point Zetu 6.

Makwasukwasu FC mwisho wao ni Sept 30 watatafutana
 
Haya tumekusikia, ila nasikia Leo mmeliwa kiboga kimoja. Ahaaa natania mkuu.
 
Unayo..acha kujitoa fahamu..Yes Simba SC kikosi kipana
Punguza jaziba muzee, hayo NAYO ni matokeo halali kabisa. Hats hivyo ligi ndiyo inaanza, ni suala LA kujipanga na kuacha kujipa promo bandia mkuu.
 
Mkuu matokeo unayo au nikujuze?
 
Naona mshanyakua point 3 tayari[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…