Mbao FC na Mwadui FC.. Tunakuja Kuchukua Point Zetu 6.

Mbao FC na Mwadui FC.. Tunakuja Kuchukua Point Zetu 6.

Mkuu tangu dunia hii iumbwe, hakuna klabu yoyote iliyowahi kuchukua ubingwa kwa kushinda mechi zote (lazima idroo hata menchi moja).. Simba SC ni nani mpaka asidroo?!
Kwa maelezo zaidi pitia hapa: Chemsha Bongo.. Mshindi Kujinyakulia Kitenge toka Nchini Kongo. - JamiiForums unaweza jinyakulia kitenge.
Lakini hii sababu ya kutuzuia kuchukua point zetu 6 kanda ya ziwa. Point hizi 6 tuna kazi nazo.. Itabidi Mbao na Mwadui watusamehe tu.
Mmh, sawa mkuu, kila la heri, lakini kwa kiwango cha mchezo ule mliocheza na Ndada, sijui, labda mbadilike.

Vv
 
Sitaki kujipa matumaini ya kitoto. Nimetazama mechi zote za preseason mpaka hizi 3. Simba haiaminiki
 
Mkuu kua na subira.. Mnyama anabadilishia gia kanda ya ziwa
Gia za kupepea kama za gari Fiati au Iveco zile za kitambo. Huko ndo mnaenda kupigwa kabisa haswa pale Kambarage hamtoki
 
Gia za kupepea kama za gari Fiati au Iveco zile za kitambo. Huko ndo mnaenda kupigwa kabisa haswa pale Kambarage hamtoki
Mkuu tukutane hapa baada ya gemu ya Mwadui.. Ili tupeane tathmini.
 
Mkuu kwenye ile game na Ndanda mbona hukutokea kwènye tathmini? Au tathmìni mpaka mshinde?
Hahaha.. Mkuu mbona nilikuwepo.. Tena nilikua siti ya mbele, upande wa kulia.. We ilikua pande zipi?
 
Umenifurahisha hapo uliposema baada ya dk 45 hawatarudi. Historia iliyopo ni kwamba Simba walishawahi pigwa 3 kipindi cha kwanza na Ndala kisha wakaingia mapumziko. Kipindi cha pili Yanga wamerudi uwanjani wanapasha pasha kidogo Mara paap! Simba wanarudi na nguo za nyumbani na washagomea kuendelea hukohuko vyumbani kwa kuhofia fedheha zaidi. Wenye kumbu kumbu nzuri na hili watueleze
Umesahau pia ipo mechi yanga waliongoza kipindi cha kwanza 3-0 na baada ya mapumziko kipindi cha pili simba ikarudisha magoli yote, then zilipofika dakika za mwisho vyura wakavua vyupi wakavaa kichwani huku wakitupa njumu zao na kuvaa ndala! Kilichowaokoa ni kipenga cha refa...
 
Umesahau pia ipo mechi yanga waliongoza kipindi cha kwanza 3-0 na baada ya mapumziko kipindi cha pili simba ikarudisha magoli yote, then zilipofika dakika za mwisho vyura wakavua vyupi wakavaa kichwani huku wakitupa njumu zao na kuvaa ndala! Kilichowaokoa ni kipenga cha refa...
Hahaha
 
Back
Top Bottom