kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kocha wa Mbao FC usihame club yako kwa kuhadaika na vilabu vikubwa ambavyo vimeshindikana hata kwa makocha wa kimataifa kutoka ulaya, haikufaa rangi wewe chokaa utafaa?. Kaa hapohapo utengeneze pesa kwa kutengeneza wachezaji wa kuwauzia Simba, Yanga na wengine kwa bei kubwa. Usijali pesa jali amani na furaha, Simba na Yanga hakuna furaha wala amani.