Hahaaaa. Haya Ahsante Mtani tumeipokea.Mtani hiyo ipokee tu bila kujali ilokotoka.
Maana mmeistahili.
[emoji16] [emoji16] [emoji16] Huwa unajificha wakati wa vita, unarudi wakati wa ushindi we subiri tu dawa yako ipo jikoniAhsante Mtani.
Sisi 2 Wao 1.
Hapana. Huwa nakuwaga na mambo mambo yananizonga mida ya jioni na ndio sababu naonekana mechi chache chache Mtani. Nje ya hapo tungekula Sahani moja.[emoji16] [emoji16] [emoji16] Huwa unajificha wakati wa vita, unarudi wakati wa ushindi we subiri tu dawa yako ipo jikoni
Anything for love
Mbona mwaka juzi mlipandaYanga haina uzoefu wa kupanda baiskeli za mbao au udongo.
[emoji23][emoji23][emoji23]Yanga ikishinda ndo unaonekana humuHapana. Huwa nakuwaga na mambo mambo yananizonga mida ya jioni na ndio sababu naonekana mechi chache chache Mtani. Nje ya hapo tungekula Sahani moja.
Hahhaha nakuaminia maana huwa unazipangua hoja zote za wana simba peke yako, jeshi la mtu mmojaHapana. Huwa nakuwaga na mambo mambo yananizonga mida ya jioni na ndio sababu naonekana mechi chache chache Mtani. Nje ya hapo tungekula Sahani moja.
Ile ilikuwa mipango kipindi Cha piliHahahaaaa.
Yanga akishinda huwa tunayaona Maajabu mengi yakiwepo na haya Swahiba. [emoji23]
Hahahaaa. Hapana bana Swahiba.[emoji23][emoji23][emoji23]Yanga ikishinda ndo unaonekana humu
Muoga Sana wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa. Sawa Mtani.Hahhaha nakuaminia maana huwa unazipangua hoja zote za wana simba peke yako, jeshi la mtu mmoja
Anything for love
Sasa pesa tumetoa wapi sisi Omba Omba watembeza bakuli?Ile ilikuwa mipango kipindi Cha pili
Takukuru inabidi wafanye kazi yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Lile bakuli huoni wanakusanya noti za raiaSasa pesa tumetoa wapi sisi Omba Omba watembeza bakuli?
Umekuwa ubao wa mpapai.Uje nawashangaa Mkuu. Omba omba anategemea ye apewe sasa anatowaje kwa mfano.
Ila nimefurahi sana tulivyouvunja mwiko maana Mbao walikuwa walitunyanyasa sana kila tukifika CCM Kirumba.
Aswaa, swadakta, hicho ndicho kipigo cha mbwa kokoooo, wanajisahaurisha, wenzenu tunakumbukaKuwa serious bhana, kipigo cha mbwa mwizi hukijui kweli? Ngoja nikukumbushe ni zile 10-0 mlizofungwa na Ahy pamoja na bamutu ya Kongo AS Vita [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mo Dewjiβs purse is the assurance.I will certainly stay tuned. Leftovers a k.a. Viporo have no guarantees.
Who has assured you that you will win all the pending games come sun, come rain?
Yes, muhamala ulisoma kwa waamuzi.Ina maana hata ushindi wa 1 -0 wa Simba dhidi ya Yanga nao ulihusisha miamala kipindi cha pili???!!!
Duuh! Haya bana Swahiba.
ππππ haswaaaUmekuwa ubao wa mpapai.
Hakuna mashabiki wajinga duniani kama wa Yanga
1. Ni jambo la aibu vijana waliokuwa wanazunguka uwanjani na mabendera ya yanga baada ya yanga kusawazisha goli kumzingira, na kuanza kumchania nguo kijana aliyekuwa amevaa nguo nyekundu akiuza maji.
2. Ni jambo la aibu washabiki wa Yanga kuwarushia chupa za maji waamuzi ambao walijitahidi kuwa fair
3. Huu ushabiki wa kijinga sijawahi kuona, hata nchi za ulaya timu ikiwanyumbani lazima wananchi wote wanaishabikia timu ya nyumbani lakini leo nimeshanga unakuta limtu ni la mwanza hapa hapa lakini linajifanya lenyewe ndio yanga mbona kule England timu yao ikiwa nyumbani sijawahi kuona huu ugoro wa kushabikia timu ya nje? mbona kule Hispania, italy na ujerumani sijawahi kuona ujinga kama huu?
Wee jomba huko njema kichwani, hao zero brain hawaelewi hiyo kitu, wanabaki kubwatukabwatuka tuu mtaaniTofautisha battle na war. Mechi kwenye ligi ni battle. Ligi nzima ni war. We are good at winning wars. Ndoo nyingi za TPL ni ushahidi tosha.