Mbao wadai mwamuzi aliwanyonga

Ni sawa na ule msemo wa ukiwa mbunge wa upinzani basi we kila kitu kinachofanywa na Serikali ni kukosoa tu...! Ndo kinachotokea hapa wana yanga wanasema ile sio penalty ilhali mpira tumeangalia wote, tukio tumeona wote ila wanabisha tu kwakuwa wao ni wapinzani wa simba
 
Refa alikuwa upande Wa simba waziwazi. Angalia alipomaliza kipindi cha pili, mbao fc walikuwa kwenye move kuelekea lango LA simba lakini mwamuzi akapuliza kipenga cha kumaliza mpira. Huu si umalizaji mzuri.
Kawaida Mpira huisha si kwenye shambulizi kama hili. Binsfsi si shabiki Wa Mbao ila iliniboa sana
 
Referee walikuwa making kwenye hiyo fainari kwani mda wore walikuwa anaangalia SAA yake lakini umakini wake Wa kuangalia SAA kila wakati Kwa lengo asije akajiasahau kutoa penati ndani ya mda Wa uwanjani kwani zikiingia penati Hazina mwenyewe lolote laweza kutokea!
 
Mkuu uko serious kweli! Kinachomaliza mpira sio uko eneo lipi la mpira bali muda ukifika wa kumaliza mpira! Hizi fikra ndo zinaleta fujo, watu hawaangalii tena mpira kama professionalism yenye sheria bali kuangalia hisia na matamanio yao
 
Sio kweli mkuu, refa anamaliza mpira muda wa mchezo unapoisha na sio kusubiria tukio Fulani litokee
 
Mbona Azam Tv walionesha tukio mubashara na wote tulishuhudia mpira ukigonga mkono wa beki wa Mbao bila ubishi kabisa, wanataka kutuambia nini sasa! Ahsante Azam Tv maana kama sio wao hakika ubishi huu usingeisha kamwe kwa jinsi sisi wabongo tulivyo!
Was it hand to ball or ball to hand?
 

KUweni wakweli. Kwani hakushika mpira?
Cheki hapa chini?
 
Ukiangalia vizuri hata Yule mchezaji aliyeshika Mpira hakuwa akilalamika
Mkuu tuko pamoja yule mchezaji alieunawa mpira alikua mpole mno nafikiri moyoni aliwashangaa sana wenzake wakihemuka.wabongo tuache ushabiki tuwe wahalisia.
 
Was it hand to ball or ball to hand?
Swali zuri hilo, angalia natural position ya mkono, Je mpira uliufata mkono kwenye natural position, mbili kulikua na ulazma wa kutoa mkono vile? Tatu mpira ulikua spd Kali kiasi cha mtu kushindwa kutoa mkono?
 
Visingizio huja baada ya kushindwa wakishinda Aaah
 
Was it hand to ball or ball to hand?
Kwa mujibu wa mkufunzi wa waamuzi, Leslie Liunda, hiyo si hoja pekee ya kubatilisha au kuhalalisha adhabu. Kuna natural position ya mikono na speed ya mpira pamoja na busara za mwamuzi. Mwisho wa yote, kinachoangaliwa ni maamuzi ya mwamuzi
 
Mbona Azam Tv walionesha tukio mubashara na wote tulishuhudia mpira ukigonga mkono wa beki wa Mbao bila ubishi kabisa, wanataka kutuambia nini sasa! Ahsante Azam Tv maana kama sio wao hakika ubishi huu usingeisha kamwe kwa jinsi sisi wabongo tulivyo!
Kama. Mpira uligonga mkono basi haikuwa penalty mkuu.
 
Mbona Azam Tv walionesha tukio mubashara na wote tulishuhudia mpira ukigonga mkono wa beki wa Mbao bila ubishi kabisa, wanataka kutuambia nini sasa! Ahsante Azam Tv maana kama sio wao hakika ubishi huu usingeisha kamwe kwa jinsi sisi wabongo tulivyo!
Katazame tena uache uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…