Mbao Tanzania
Senior Member
- May 31, 2021
- 170
- 215
Inatamanisha kutumia chuma katika kuezeka au kukamilisha ujenzi wa majengo na utengezaji wa samani kama vitanda, meza, makochi n.k.
Lakini malighafi ya chuma ni gharama sana na inaweza kukupatia hasara. Chuma kinapata kutu, kinaoza, kinasumbua kwenye uandaaji na matumizi yake.
Ni bora kutumia mbao zilizotiwa dawa ya kuzitunza na kuua wadudu, hizi unaweza kudumu nazo katika ujenzi na utengenezaji wa thamani kwa hata zaidi ya miaka 50.
Tumetimiza wajibu wetu wa kutoa ushauri.
Lakini malighafi ya chuma ni gharama sana na inaweza kukupatia hasara. Chuma kinapata kutu, kinaoza, kinasumbua kwenye uandaaji na matumizi yake.
Ni bora kutumia mbao zilizotiwa dawa ya kuzitunza na kuua wadudu, hizi unaweza kudumu nazo katika ujenzi na utengenezaji wa thamani kwa hata zaidi ya miaka 50.
Tumetimiza wajibu wetu wa kutoa ushauri.