We wacha kukariri wewe,sijui hata km unajua ujinga huo unatokea kwanini.
Kuna kesi nyingi za kijinga tu kuumiza watu na haswa Sweden.
Kwanini?
Uongo mdogo mtu anapelekwa jela na binti au mama huku uraiani analipwa mamilioni ya pesa bure tu.
Badae huwa wanakiri kabisa kwamba walifanya uongo.
Hiyo nchi wana tabia mama ya kukariri,
Snoop dogg alikamatwa kwenye reggae festival kwamba ana bange.
Wamemsachi na kila gari alilokua nalo hakukutwa na bangi,hiyo mara ya pili.
Snoop alisema haendi tena hiyo nchi fans wake wamfate popote duniani.
We mzima,unaitwa unaenda kwenye party,unavuliwa nguo unalalwa,mpaka unakojolewa upo tu.
Na kesho unaenda kushtaki umebakwa.
Hivyo vibinti vina mihemko sana,kikiota chuchu tu kinaanza kuzagaa zagaa,viko vingi sana kutaka kudandia ustaa wa bure.
Mbappe kasema hana huo ukame wa kufikia kubaka,akitaka bibi popote duniani atampata saa yoyote kwanini abake?
Yule tajiri wa Chelsea aliyefilisiwa Roman abramovich
mbona aliwahi kupark boti yake ya kifahari pale Stockholm na watu wakatangaziwa wakale bata bure mle ndani walienda vibinti maelfu vidume walikua wachache tu.
Na vikatafunwa,asubuhi mapema vikatolewa jamaa kang'oa nanga katimua.
Hamna hata mmoja alifile case.
We unaongea ukiwa dunia ya ngapi?