Mbappe: ‘Jiwe Walilolikataa Cameroon’ Limekuwa Jiwe Kuu la Ufaransa

Mbappe: ‘Jiwe Walilolikataa Cameroon’ Limekuwa Jiwe Kuu la Ufaransa

Nilipata story kuwa kocha Mwambusi wa Mbeya city alikuwa hakupangi mpaka umpe kitu kidogo. Yaano wachezaji walikuwa wanampa pesa kutola kwenye mishahara yao ndiyo anawapanga. Afrika haiwezi fika popote kwenye nyanja yoyote.
 
Serikali za kiafrika zinaua vipaji. Kikitokea kipaji wanachoa angalia kwanza kama watapata pesa kutokana na hiko kipaji kama hamna wanakipotezea.

Ndio maana vipaji vingi afrika vinafia njiani maana serikali wenyewe wanaviua.
Kesi kama ya mbappe kama baba ake asingempeleka ufaransa leo hii mbappe labda angekuwa dereva wa malori.

Mchawi wa waafrika ni waafrika wenyewe.
Dereva wa Lori..hahahahahah..nimecheka daah.Kuna watu wanawaza humu.Ila kweli wengine tumeishia kwenye Mishahara ya laki laki....halafu Eti kama Ronaldo si umri sawa tu na watu wam miaka ya 1980s lakiini compare sasa ukaone.Huku ni tunaambiwa kila kitu ujasiria mali tu....Wakati hata bible inajua habari za Talanta.
 
Back
Top Bottom