Serikali za kiafrika zinaua vipaji. Kikitokea kipaji wanachoa angalia kwanza kama watapata pesa kutokana na hiko kipaji kama hamna wanakipotezea.
Ndio maana vipaji vingi afrika vinafia njiani maana serikali wenyewe wanaviua.
Kesi kama ya mbappe kama baba ake asingempeleka ufaransa leo hii mbappe labda angekuwa dereva wa malori.
Mchawi wa waafrika ni waafrika wenyewe.