View attachment 491050
Mchezaji wa timu ya Kagera Sugar FC, Mbaraka Yusuph Abeid amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom wa mwezi Machi kwa msimu wa 2016/2017.
Mbaraka aliwashinda wachezaji Abubakar Salum wa Azam FC na Kenny Ally wa Mbeya City kutokana na kuonyesha kiwango cha hali ya juu, hivyo kuisadia timu yake kupata matokeo mazuri.
Kwa taarifa zaidi, fuata link hapo chini.
MBARAKA YUSUPH ABEID MCHEZAJI BORA WA VPL MACHI 2017
Nafikiri abubakar salum alishindana kwa kuzuia ushindi wa azam thidi ya yanga: kucheza kinazi
Sure Boy mechi za ndani huwa anasumbua sana, lakini wakikutana na timu za nje humuoni.Kumbuka mechi dhidi ya Swallows.Dogo anatatizo la kisaikolojia, huwa hajitambui kabisa kwenye mechi muhimu.
Pili Azam wana tatizo kama walilonalo Yanga zote zimeshuka kiwango yoyte kati yao anaweza kushinda baina yao