Mbaraka Yusuph Abeid awa mchezaji bora wa VPL mwezi Machi

Mbaraka Yusuph Abeid awa mchezaji bora wa VPL mwezi Machi

Sunbae

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2015
Posts
254
Reaction score
176
mchezaji-bora-machi-2017.png


Mchezaji wa timu ya Kagera Sugar FC, Mbaraka Yusuph Abeid amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom wa mwezi Machi kwa msimu wa 2016/2017.

Mbaraka aliwashinda wachezaji Abubakar Salum wa Azam FC na Kenny Ally wa Mbeya City kutokana na kuonyesha kiwango cha hali ya juu, hivyo kuisadia timu yake kupata matokeo mazuri.
 
Dogo yuko kwenye fomu nzuri, kasi, njaa, mwepesi, mbunifu. Big up
 
View attachment 491050

Mchezaji wa timu ya Kagera Sugar FC, Mbaraka Yusuph Abeid amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom wa mwezi Machi kwa msimu wa 2016/2017.

Mbaraka aliwashinda wachezaji Abubakar Salum wa Azam FC na Kenny Ally wa Mbeya City kutokana na kuonyesha kiwango cha hali ya juu, hivyo kuisadia timu yake kupata matokeo mazuri.

Kwa taarifa zaidi, fuata link hapo chini.

MBARAKA YUSUPH ABEID MCHEZAJI BORA WA VPL MACHI 2017

Nafikiri abubakar salum alishindana kwa kuzuia ushindi wa azam thidi ya yanga: kucheza kinazi
 
Nafikiri abubakar salum alishindana kwa kuzuia ushindi wa azam thidi ya yanga: kucheza kinazi


Dogo anatatizo la kisaikolojia, huwa hajitambui kabisa kwenye mechi muhimu.

Pili Azam wana tatizo kama walilonalo Yanga zote zimeshuka kiwango yoyte kati yao anaweza kushinda baina yao
 
Dogo anatatizo la kisaikolojia, huwa hajitambui kabisa kwenye mechi muhimu.

Pili Azam wana tatizo kama walilonalo Yanga zote zimeshuka kiwango yoyte kati yao anaweza kushinda baina yao
Sure Boy mechi za ndani huwa anasumbua sana, lakini wakikutana na timu za nje humuoni.Kumbuka mechi dhidi ya Swallows.
 
Back
Top Bottom