Mbarali: CHADEMA Digital yaambatana na nyama choma

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Katika oparesheni kabambe inayoendelea ya kutokomeza CCM Mbarali , kikundi cha Diaspora kikiongozwa na TL Marandu kimenunua Zizi la Mbuzi kwa ajili ya nyama choma ya Watenda kazi hiyo ya kuteketeza ccm , kazi inayoongozwa kikamilifu na Liberatus Mwang'ombe.

Wakati CCM wakilogana kugombea nafasi ya Kinana na Chongolo , huko Mbarali mambo ni hivi.

 
Baada ya maonesho ya magorofa ya viongozi wa CHADEMA kutopata uungwaji mkono, Sasa ni kitest uimara wa meno kwa kutafuna nyama!!

Uchaguzi ujao tujiandae kung'atwa
 
Hiki ndio chama cha matumaini kwa Watanzania
 
Wakati CCM wakilogana kugombea nafasi ya Kinana na Chongolo , huko Mbarali mambo ni hivi .
Mmeridhika na maisha kiasi cha kushangilia nyama choma badala ya kupambania changamoto za wananchi!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…