LGE2024 Mbarali: CHADEMA yashinda vitongoji 4 kati ya 7 na CCM vitongoji 2

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Ukiona hivyo ujue CCM wahakuwa na namna kabisa. Yaani mpaka kura za hapana zimeshinda ...OMG!!
 
Hivi kura za hapana zikiwa nyingi dhidi ya mgombea pekee, utaratibu unakuwa vip hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…