Mbarali: Kampeni ya kuifuta CCM yafika vijiji visivyofikika , Liberatus Mwang'ombe aongoza kikosi cha ufutaji

Mkoa wa Mbeya CHADEMA ilishafutwa katika mioyo ya wana Mbeya.kila mtu kwa sasa anaipuuza CHADEMA na kuwaona wababaishaji tu na watu waliojikatia Tamaa ya kila kitu. Hawana uwezo wa kushindana na CCM Katika sanduku la kura
Muda utaongea kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…