dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,502
- 3,483
CGFM RADIO wameripoti kwamba Wananchi wa Kijiji cha Kapunga Kata ya Itamboleo Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya wamejitokeza siku mbili mfululizo kumtafuta Bwana Mussa Mganwa(35) mkazi wa Kapunga anayehofiwa kusombwa na maji baada ya kuteleza darajani
Mussa alisombwa na maji 28 Februari,2022 majira ya saa sita mchana wakati akijaribu kuvuka mto Chimala akielekea kupandikiza mpunga.
Wazamiaji wamejitokeza kumtafuta Musa bila mafanikio lakini wakiwa na matumaini kumpata licha ya kuogelea zaidi ya kilometa 25 bila mafanikio.
Mussa alisombwa na maji 28 Februari,2022 majira ya saa sita mchana wakati akijaribu kuvuka mto Chimala akielekea kupandikiza mpunga.
Wazamiaji wamejitokeza kumtafuta Musa bila mafanikio lakini wakiwa na matumaini kumpata licha ya kuogelea zaidi ya kilometa 25 bila mafanikio.