Mbaroni kwa tuhuma za kuua akijaribu kutoa mimba

Mbaroni kwa tuhuma za kuua akijaribu kutoa mimba

Mkuu nimekusoma,naomba niendelee kukudodosa;Kwa hiyo ktk Uislamu wana ndoa wanaruhusiwa kutoa mimba?

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app

Mimba ikishaingia hata ikiwa iko katika kiwango kidogo hata siku moja kinakuwa ni kiumbe mbali na kuwa hakijatiwa roho. Uislamu umekataza kiumbe kuuliwa isipokuwa kukiwa na dharura hiyo.

Mwenyezi Mungu Aliyetukuka Anasema:

“Wala msiwaue wana wenu kwa kuogopa umasikini. Sisi Tunawaruzuku wao na nyinyi. Hakika kuwaua hao ni khatia kubwa” (al-Israa’ (17): 31).


ila


Mimba inaweza kutolewa ikiwa mwanamke ataambiwa na daktari mzoefu na aliyebobea katika taaluma ya kizazi na awe Muislamu mcha Mngu kuwa kuendelea kubeba mimba hiyo itakuwa ni hatari kwa mama.

La si hivyo basi itakuwa haifai kuitoa kabisa na mwenye kutoa atakuwa na dhambi kubwa mbele ya Allah Aliyetukuka.
 
Mimba ikishaingia hata ikiwa iko katika kiwango kidogo hata siku moja kinakuwa ni kiumbe mbali na kuwa hakijatiwa roho. Uislamu umekataza kiumbe kuuliwa isipokuwa kukiwa na dharura hiyo.

Mwenyezi Mungu Aliyetukuka Anasema:

“Wala msiwaue wana wenu kwa kuogopa umasikini. Sisi Tunawaruzuku wao na nyinyi. Hakika kuwaua hao ni khatia kubwa” (al-Israa’ (17): 31).


ila


Mimba inaweza kutolewa ikiwa mwanamke ataambiwa na daktari mzoefu na aliyebobea katika taaluma ya kizazi na awe Muislamu mcha Mngu kuwa kuendelea kubeba mimba hiyo itakuwa ni hatari kwa mama.

La si hivyo basi itakuwa haifai kuitoa kabisa na mwenye kutoa atakuwa na dhambi kubwa mbele ya Allah Aliyetukuka.
Hapo sawa,muhimu hapo ni ktk hali ya hatari ili kumuokoa mama.

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom