Mbasha aache kutumia Propaganda za Gwajima kuseek Public Sympathy kwa tuhuma zinazomkabili

Mtu mwenyewe mnayedai kabakwa ndo yule aliyekuwa anagegedwa na mrisho ngasa mpaka wakajirekodi!! Huyo wa kubakwa kweli au alitaka mwenyewe

Hii picha imejengwa tu kisanii ili Mbasha aozee Jela Mkewe atumike Kama kibuludisho kwa wenye nazo, mbasha nenda kaombe msaada kwenye Ofisi za USA watakusaidia kukulipia mwanasheria bomba angalau upiganie Penzi lako.
 
Iili jamaa linadai alijawai kugonga kabda. kama nikweli ndiomana linamng'ang'ania mkewe naili nitatizo vijana wenzangu kujulia ukubwani.

Enzi Fulani walikuwa Kama kumbi kumbi walikuwa wakifuatana kila kona hadi Chooni walikuwa wakienda wote ,jamaa lilikuwa limependa hadi likasahau ule Msemo usemao Mwalimu wa Mwanamke ni Kipofu .
 

mhuu. umetumia assumption kwenye maelezo yako kama ndo mjibu. c vema kusema ivo ikiwa huna chanzo cha taarifa za uhakika
 
huwa nasoma sana comment zako nahuwa zinamaana sana,lakini kwa hili umepotoka kidogo!!kama hujatumwa kumsafisha gwajima basi achana nalo na endelea na mambo ya kuelimishana kimaendeleo,huko ulikoenda waachie wa mipasho,labda kama na wewe umehamia sekta hiyo!!
 

Wanamazingaombwe mnateteana!mmegeuza dini ujasiliamali na sehemu ya kuiba wake za watu.
 
bila shaka umeagizwa na gwajima!! watu washajua maovu ya huyo mchungaj wenu
 

Kwanini ajiingize kwenye huu mgogoro? acha ajadiliwe na amechafuka maana kila mtu anamsema Gwajima.
 

Aiseee.,sina neno mkuu umemalza,,,asipofuata hil mjeur
 
.....nao wengi wa wachungaji walionekana ktk ziwa la moto ndani ya jehanamu....soma ufunuo
 
Kama mi nnavowachukia wanaotetea wachungaji fake, wazinifu. Kero tupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…