Mtu mwenye busara huwa kimya, akimtaraji Mungu afanye jambo Frola arudi nyumbani, lakini hii yakuanza kutafuta sympathy kwenye jamii kwa mwanaume haijakaa vizuri! Tulikuwa tunategemea Frola ndio alalamike na kuongea sana, lakini yeye halalamiki kama brother Emma.
Mwanzo wa hii tamthilia Emma alisikika akisema nimeondoka na kadi zote za benki na nimemuacha Frola mweupe kabisa, hatukumsikia Frola hata sikumoja akilalamika kwenye viombo vya habari kwamba kaachwa hana kitu, huyo jamaa anafananya mambo ya kitoto tu na ni uhuni unaoendelea! Wote Frola na Mbasha wanajua vizuri undani wa ndoa yao kuparaganyika, na wao ndio wenye uwezo wa kuresolve hiyo ndoa na sio jamii, ukitaka jamii ikuonee huruma itakuonea huruma na series ikikamilika utasahaurika na utaendelea na maisha yako ya vijiweni!
Pole Brother Emma, ikitokea mmerudiana, tafuta cha kufanya na wewe uanze kujiestablish vinginevyo utakuwa ni wa kulalamika kila siku. UNAKERA SANA.
Kula like 2000 Mkuu!