Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbeee,naye ndo walewale!
Safi sana msalimie handsome wako..
Hajazidiwa ila kuna watu na watu anawaonea, kesho habari yote tunaweza kukuta kwenye gazeti lake
Sio sana,ila flora wakati anaimba ile choir yao ya Bugando,alikuwa anakuja shy kwenye ile mikutano ya injili ya abu yao,ila niliwahi kusali EAGT mnazimmoja enzi ya mchungaji Andrew na kina mama NyandaKumbe unawajua ima atawaumbua soon ye2 masikio na macho
asante sana amelala soon tu baada ya lunch nitamwambia akiamka
ESTER AJIBU SWALI MOJA TU
ni kwa muda gani flora kakaa hotelini na yeye hakubakwa???
amekuja kubakwa juzi???????????
kwa nininjpili alibakwa ndani ya gari????????
walitoka wapi??
alibakiwa wapi hapo?????
gari lina tintedi????HATA KAMA IPO NAJUA KIOO CHA MBELE KIPO WAZI????
NA NAJUA WALIKAA WOTE SITI YA MBELE kitu ambacho ni ngumu bwana mbasha kumbakia siti ya mbele maana licha ya kwamba kuna uwazi kioo cha mbele lazima kuna gia kama ni manual na kama ni automatik kuna kile kisehemu cha kuweka chupa na baadhi ya vitu
KWA KIFUPI NI NGUMU KUGEGEDANA SITI YA MBELE
LAZIMA MUAMIE SITI YA NYUMA JE kwa nini walivyokuwa wanahamia siti ya nyuma dogo ASIKIMBIE yeye akashuka na kufungua mlango wa nyuma na kuingia
kwa wale wa one for the road hapa nadhani mnanielewa kwanza MKIGEGEDANA GARINI LAZIMA KUWE KUNA USHIRIKIANO MKUBWA KATI YA fanani Na hadhira kwani kispesi ni kidogo...
Polisi waangalie upande huu na dokta apime papuchi ya esta
Sio sana,ila flora wakati anaimba ile choir yao ya Bugando,alikuwa anakuja shy kwenye ile mikutano ya injili ya abu yao,ila niliwahi kusali EAGT mnazimmoja enzi ya mchungaji Andrew na kina mama Nyanda
Bibie mchelemchele kitambo tu ulokole wake zuga
Wewe mwanamke mbona una maswali magumu hivyo.
Mungu wangu mbinguni kuna kazi kweli
Acheni utani nafungua kila dakika jf nione comments za wambea wakuu wa jf siwaoni.
mimi nishamwambia boy wangu kanisani siendi maana nina vidonda sana juu ya pastor sijui niende wapi kukutana na mungu
hili la kwenda kanisani ex wangu yupo umu tulisumbuana sana nadhani hapo alipo anacheka tu akiona hapa maana kila siku siendi akiniuliza sina jibu la kueleweka moja kwa moja
ILA SIKUWAHI KUMWAMBIA NI KWAMBA HATA KAMA WANATAJA JINA LA MUNGU MAOVU YAO YANANISHINDA KUTOLERATE WAKIWA MADHABAUNI
mzee wa upako nammezea kwa leo ipo siku nina details zake nyingi
yaani mimi mwinjilist wa kanisa langu nilimo barikiwa ni issue yaan siku moja nitaeka uzi wake