Mbasha naanza kuamini kuwa Flora hakuwa na tatizo, wewe ndio ulikuwa Mvurugaji

Mbasha naanza kuamini kuwa Flora hakuwa na tatizo, wewe ndio ulikuwa Mvurugaji

Mallia

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
437
Reaction score
1,562
Huyu kaka inaonekana Flola alikuwa akimcontrol pakubwa sana, kipindi yupo na flora alikuwa anavutia sana kitabia lakini sasa kaka anatukana hadharani na kutoa mada za ajabu ajabu mitandaoni
Screenshot_20190824-203107.jpeg
 
Huyu Jamaa Nilimuona Kama Mzee Wa Mbozi Road Pale Konyagi
 
Yaani angekuwa hajaokoka sijui ingelikuwaje!!!! Kweli walokole mmeingiliwa na jeshi jingine jipya. Hivi we mbasha, unataka kutuambia kuwa ukiokoka huwa unanyang;anywa sehemu ya mwili wako?? Pili, huyo shoga alikuona wapi hata akutamani na pia umpe namba zako??
Nadhani kuna mahali lipo tatizo
 
Mwenzake Flora katulia tuli na DUDU LA YUYU Kusekwa ila Mbasha Emmanuel kutwa kutukana watu mitandaoni sasa sijui ni stress za kuachwa/Kuchapiwa? Juzi aliwavaa Samsasali na mwenzake na kuwatukana matusi ya hatari sana sasa sijui ni kiki ya promo ya wimbo wake alioutoa?
 
Yaani angekuwa hajaokoka sijui ingelikuwaje!!!! Kweli walokole mmeingiliwa na jeshi jingine jipya. Hivi we mbasha, unataka kutuambia kuwa ukiokoka huwa unanyang;anywa sehemu ya mwili wako?? Pili, huyo shoga alikuona wapi hata akutamani na pia umpe namba zako??
Nadhani kuna mahali lipo tatizo
nakusapot mkuu.
kama unahofu ya mungu huwezi kuandika haya maneno. eti kama [blue]hajaokoka
 
Unakataa easy money???? Kweli? Na hapo hapo unawaambia watu wabonyeze link ili upate pesa
 
Back
Top Bottom