Mbasha: Wanaofanya mapenzi kinyume na maumbile hawatauona ufalme wa Mungu

Dhumun lake ni kuwakumbusha wafiraji na wafirwaji kua hiyo dhambi ni moto tu yaan lazima uingie jehanamu...

Nahii nikweli ..hii ndo dhambi iloangamiza sodoma na gomora.
 
Kuna mtu anayemfahamu analiwa kiboga/anakula kiboga kaamua arushe jiwe gizani so atayetokwa tu namapovu ndio mwenyewe huyo ila nawasiwasi uenda likawa limemlenga fudodido wake wazamani
 
nayeye kama jina lake Mu...basha ...atakuwa anamkemea ule ex wake hihihi
 
Kwan biblia imetumia neno hilo kwel??ngoja kwanza nikachukue bibo yangu
 
SODOMA NA GOMORA ndicho kilichosababisha Mungu awachome moto kama uliwahi kufanya na uko hai nafasi ya kuacha na kutubu bado ipo tubu na kuacha hiyo dhambi Mungu anachukizwa nayo sana
 
hivi lini mtaachana na fairy tales za kwenye bible?
 
Na Mungu pia hapendi ubakaji..
Huyu Mbasha alikuwa na kesi ya ubakaji..
Hata kama mahakama ilisema hana hatia, UKWELI anaujua yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…