Elections 2010 Mbatia apinga vikali na kulaani uatafiti wa Synovate

Elections 2010 Mbatia apinga vikali na kulaani uatafiti wa Synovate

Utafiti wa malaria,ukimwi au kunywa maziwa na kula samaki mbona huwa hazipingwi.watafiti wanadai kuwa watanzania tunakula kilo saba za samaki kila mwaka je mbona kunasehemu hata samaki mmoja hawali kwa mwaka mzima?lakini ukishajua wanatumia mbinu gani katika tafiti zao basi unakubaliana nao.kitaalamu ukifikisha idadi ya watu 1000 nakuendelea kama ndiyo sample yako katika utafiti basi unakubalika kimataifa.so jamaa wako sahihi kwa majibu ya utafiti wao na hali pia ya kisiasa ya nchi yetu inaendana.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Mmi na declare interest kweli namkubali Dr. Slaa sana tena sana lakini kutumia watu 1,994 kuwasilisha watz mil 8 walio piga kura sidhani kama inamaana, halafu nimewahi kusikia Dr. Kitila Mkumbo yumo kwenye Synovate. Sasa napata wakt mgumu kuamini haya matokeo nawaomba wana cdm musishabikie tu na kumponda Mbatia. try to think out of the box.
 
Jamani huyu Mbatia anachopinga nini haswa.. Wamesema kama uchaguzi utafanyika leo Dr.Slaa anachukua ushindi.. kuna uongo gani hapo hata kama ukichukua watu mil2 bado watakubali Dr.Slaa yuko matawi ya juu. Kilichofuatia ni mgombea ndani ya CCM haya hayawahusu NCCR.. Ifike wakati tukubali matokeo maanake huyo Mbatia hata baada ya kushindwa Kawe na kitaifa bado hakubaliani na matokeo ya watu karibu mil 10 na anaamini NCCR - Mageuzi inaweza kusimama peke yake. Tatizo sio Synovate, tatizo ni sisi wenyewe tunaotazama vitu toka upande mmoja tu.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Hili halinishangazi-angependa result zionyeshe kuwa CCM ndio wangeshinda na hii ni kwa sababu MBATIA ameamua kuku-MBATIA magambas
 
Kuupinga huu utafiti hivi hivi haisadii, Mbatia or CHADEMA or anyone else who is not happy na haya matokeoa afanye utafiti wake ili approve just how wrong hawa Synovate really are. Na kuna mahali kwenye hii thread mtu kaandika comments za Bashiru Ally akisema kuwa anashangaa kwa Synovate kufanya utafiti wa nani anaweza kuwa rais ajaye ni mapema mno (ndio tu tumemaliza uchaguzi 2010). Kama ni kweli amesema hivyo nitashangaa sana maana kwa msomi kama huyo ningetegemea awe na exposure na uelewa kwenye mambo kama haya kwamba tafiti hufanyika kila mara tena ingekuwa vizuri kama Synovate wangefanya utafiti January wakati ndio vuguvugu la kuchakuchuwa kura likiwa juu.

Kwa miaka Tanzania tumekuwa tunafanya siasa za 'kudhani'. Unakuta ilani inaandikwa bila kufanya utafiti na kujuwa kweli tatizo la maji ni No 2 au No? n.k. Hapo Kenya tu Synovate na mashirika mengine wanafanya tafiti kila kukicha -poll monitoring. Nadhani tuanze sasa na sisi kutumia tafiti na kama kuna mtu anaona Synovate wanachakachuwa, basi alete matekoe ya utafiti wake toka wa vyanzo vingine ili tujadili.
 
Hili ni changa la macho kwa chadema.....subiri 2014 utasikia ccm inaongoza.
Kama mimi ningekuwa among top leaderz wa chadema ningeitisha press comf.na ningeukataa
utafiti huu wa kinafiki wa synovate. Watakapokuja kuipa mapoint ccm alafu cdm wakanushe....
utawasikia mbona na nyinyi mwaka 2011 mlikuwa juu? khaa! ama kweli Tanzania ni zaidi ya uijuavyo!
 
Ata Mhadhiri wa Chuo cha Dar es Salaam, Bashiru Ally, amesema "Nimesikia nikashangaa sana, mwaka mmoja tu tumetoka kwenye uchaguzi, mtu anaenda kufanya utafiti kutaka kujua Rais anayekuja, hii kweli itakuwa ni innovation (ugunduzi au maendeleo) ya sayansi ya utafiti" alisema Bashiru
<br />
<br />
anashangaa nini mbona wamarekani wanafanya kila wiki? mbona kenya walianza muda mfupi baada ya kibaki kuapishwa? ni kwa vile ccm wapo nyuma ndio maana dr bana, bashir
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/161288-mbatia-apinga-vikali-na-kulaani-uatafiti-wa-synovate.html
 
<font color="#222222">Huwezi kufanya utafiti unaowajumuisha watu ambao tayari walisha gombea urais kama Dr. Slaa na Prof Lipumba na watu kama Sita na Mwinyi watu ambao hawajawahi kugombea urais, matokeo hayatakuwa sahihi.</font>
<br />
<br />
kenya wanavyompambanisha odinga, ruto, kenyatta nk wote walishawahi kugombea urais? acheni hizo hoja dhaifu
 
<font color="#222222">Huwezi kufanya utafiti unaowajumuisha watu ambao tayari walisha gombea urais kama Dr. Slaa na Prof Lipumba na watu kama Sita na Mwinyi watu ambao hawajawahi kugombea urais, matokeo hayatakuwa sahihi.</font>
<br />
<br />

Hoja za chimpumu hizi
 
Mmi na declare interest kweli namkubali Dr. Slaa sana tena sana lakini kutumia watu 1,994 kuwasilisha watz mil 8 walio piga kura sidhani kama inamaana, halafu nimewahi kusikia Dr. Kitila Mkumbo yumo kwenye Synovate. Sasa napata wakt mgumu kuamini haya matokeo nawaomba wana cdm musishabikie tu na kumponda Mbatia. try to think out of the box.
<br />
<br />

Ulitaka sample ijumuishe respondents wangapi, milioni 2 ama 4 ama population nzima?
 
Hivi mbatia huwa anafikili hao wapiga kura huwa wanatoka ulaya, hajui ni sisi wenyewe tunaoongea nae humu jf na watz kwa ujumla ndo wapiga kura na ndio tunaofanyiwa utafiti na mijini na vijijini, au anataka hata utafiti ufanyike humu humu jf na atashuhudia Drbado anakuwa mshindi na Mbatia anabaki na 1%, asiwe na wivu huo ndo ukweli pekee, Dr Slaa tuko nyuma yako daima milele,,,,
 
Huyu Mbatia nditye anayepinga Ushindi wa Mdee Mahakamani, wakati alitangaza kuwa Mdee atapewa viti maalumu yeye apewe jimbo na wanakawe asipoteze muda wa watu hapa jamvini
 
Hili ni changa la macho kwa chadema.....subiri 2014 utasikia ccm inaongoza.<br />
Kama mimi ningekuwa among top leaderz wa chadema ningeitisha press comf.na ningeukataa<br />
utafiti huu wa kinafiki wa synovate. Watakapokuja kuipa mapoint ccm alafu cdm wakanushe....<br />
utawasikia mbona na nyinyi mwaka 2011 mlikuwa juu? khaa! ama kweli Tanzania ni zaidi ya uijuavyo!
pwenti tupu!
 
wangesema JK anakubalika ndo ningekubaliana nao kwanza hawa bado sijawasahau kabisaa!
<br />
Usiwe unapost mabandiko kama mlevi. Umeambiwa kwenye poll hii Mk.were hayupo! Waliassume M.kwere kamaliza muda wake.
 
<br />
Usiwe unapost mabandiko kama mlevi. Umeambiwa kwenye poll hii Mk.were hayupo! Waliassume M.kwere kamaliza muda wake.
basi wengesema wewe umeshinda na si Dr wangu hatuitambui tasisi zakijinga na usiwemwepesi wakusahau wewe! MNAJITAHIDI KUTUTULIZA HATUTULII NG'O! MKWE'RE AONGEZEWE MDA BADO TUNAMHITAJI!
 
kwani huwa inatakiwa kusubiri muda gani ndo ufanye utafiti?
Inaonesha Mpaka Bashiru aseme . nadhani utafiti ni kitu endelevu ila hapa kwetu tafiti za siasa zinafanywa karibu na uchuguzi kwa manufaa ya walio kwenye kiti ( kuonesha wanaungwa mkono)
 
It is very easy to win an intellectually destitute mind. CHADEMA are so desperate that they can merely trust whatever appearing to be in their favour. It's beyond me how Synovates, which was at one point believed to be CCM's propagandic tool, has suddenly turned out to be credible institution.
 
Back
Top Bottom