<br />Ata Mhadhiri wa Chuo cha Dar es Salaam, Bashiru Ally, amesema "Nimesikia nikashangaa sana, mwaka mmoja tu tumetoka kwenye uchaguzi, mtu anaenda kufanya utafiti kutaka kujua Rais anayekuja, hii kweli itakuwa ni innovation (ugunduzi au maendeleo) ya sayansi ya utafiti" alisema Bashiru
<br /><font color="#222222">Huwezi kufanya utafiti unaowajumuisha watu ambao tayari walisha gombea urais kama Dr. Slaa na Prof Lipumba na watu kama Sita na Mwinyi watu ambao hawajawahi kugombea urais, matokeo hayatakuwa sahihi.</font>
<br /><font color="#222222">Huwezi kufanya utafiti unaowajumuisha watu ambao tayari walisha gombea urais kama Dr. Slaa na Prof Lipumba na watu kama Sita na Mwinyi watu ambao hawajawahi kugombea urais, matokeo hayatakuwa sahihi.</font>
<br />Mmi na declare interest kweli namkubali Dr. Slaa sana tena sana lakini kutumia watu 1,994 kuwasilisha watz mil 8 walio piga kura sidhani kama inamaana, halafu nimewahi kusikia Dr. Kitila Mkumbo yumo kwenye Synovate. Sasa napata wakt mgumu kuamini haya matokeo nawaomba wana cdm musishabikie tu na kumponda Mbatia. try to think out of the box.
Siwalisemaga huyu jamaa kuwa kuna wana watu wanatoka nae!
anamaanisha eti watu wanakula MBONIWanatoka nae kivipi? Na kwenda wapi?
pwenti tupu!Hili ni changa la macho kwa chadema.....subiri 2014 utasikia ccm inaongoza.<br />
Kama mimi ningekuwa among top leaderz wa chadema ningeitisha press comf.na ningeukataa<br />
utafiti huu wa kinafiki wa synovate. Watakapokuja kuipa mapoint ccm alafu cdm wakanushe....<br />
utawasikia mbona na nyinyi mwaka 2011 mlikuwa juu? khaa! ama kweli Tanzania ni zaidi ya uijuavyo!
<br />wangesema JK anakubalika ndo ningekubaliana nao kwanza hawa bado sijawasahau kabisaa!
basi wengesema wewe umeshinda na si Dr wangu hatuitambui tasisi zakijinga na usiwemwepesi wakusahau wewe! MNAJITAHIDI KUTUTULIZA HATUTULII NG'O! MKWE'RE AONGEZEWE MDA BADO TUNAMHITAJI!<br />
Usiwe unapost mabandiko kama mlevi. Umeambiwa kwenye poll hii Mk.were hayupo! Waliassume M.kwere kamaliza muda wake.
Inaonesha Mpaka Bashiru aseme . nadhani utafiti ni kitu endelevu ila hapa kwetu tafiti za siasa zinafanywa karibu na uchuguzi kwa manufaa ya walio kwenye kiti ( kuonesha wanaungwa mkono)kwani huwa inatakiwa kusubiri muda gani ndo ufanye utafiti?