Mbatia ataka majina ya waliofisadi mabilioni ya Benki kuu yawekwe hadharani, asema wale waliosimamishwa Hazina ni dagaa tu

Mbatia ataka majina ya waliofisadi mabilioni ya Benki kuu yawekwe hadharani, asema wale waliosimamishwa Hazina ni dagaa tu

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi James Mbatia ameitaka serikali kutaja hadharani majina ya waliofisadi mabilioni ya fedha za benki kuu yaliyotajwa katika ripoti ya CAG.

Mbatia amesema kuwasimamisha maofisa wachache wa wizara ya fedha waliogawana fedha hizo kama posho haitoshi, wale ni dagaa tu tunataka papa watajwe hadharani.

Chanzo: ITV habari!
 
Huyu Mbatia hana akili kabisa CAG na waziri mkuu wamechunguza na kuja na taarifa kuwa hela zilitoka kwa kufuata taratibu zote ,isipokuwa dosari zilianza kujitokeza kuanzia mwezi wa nne.

Mbatia amekomalia taarifa za kigogo
 
Sasa kama Jiwe alikufa ghafla na ndiye aliyekuwa amejikabidhi madaraka ya kusimamia pesa zote za hii nchi
 
Waziri wa fedha wa kipindi deal Hilo limepigwa,sasa ndio makamu wa rais.

CCM ni Ile Ile.
 
Hizi ni hasira za Mungu baada ya chadema kushangilia kifo cha Magufuli.
 
Huyo sanamu tutamtaja taja mpaka pale mtakapokiri kwa makalio yenu kuwa kaharibu taasisi zilizojengwa na watangulizi wake kwa miaka mingi
Mbona unampenda jiwe sana, hapa katajwa na nani zaidi yako?
Kama unampenda kamfuate huko kabulini ukaolewe nae
 
Pesa hazina ushahidi ila zilichotwa mwenye ng'ombe ndiye mwenye bucha!
 
Huyo sanamu tutamtaja taja mpaka pale mtakapokiri kwa makalio yenu kuwa kaharibu taasisi zilizojengwa na watangulizi wake kwa miaka mingi
Pumbavu zenu mkiweza kuiba na kufisidi taasisi ndio mnaona zimejengwa na watangulizi miaka mingi.
 
Mwenyekiti wa Nccr mageuzi James Mbatia ameitaka serikali kutaja hadharani majina ya waliofisadi mabilioni ya fedha za benki kuu yaliyotajwa katika ripoti ya CAG.

Mbatia amesema kuwasimamisha maofisa wachache wa wizara ya fedha waliogawana fedha hizo kama posho haitoshi, wale ni dagaa tu tunataka papa watajwe hadharani.

Source: ITV habari!
😆😆😆
 
Mbatia kama mtumishi aliyetukuka wa kitengo bila shaka ameshayaona hayo majina hapo anatikisa kiberiti tu.

Ingekuwa enzi zile yangepenyezwa kwa CDM na wao wangeuwasha moto bungeni. Lakini ndio hivyo tena, mwendazake katurudisha kuwa nchi ya chama kimoja
 
Huyu Mbatia hana akili kabisa CAG na waziri mkuu wamechunguza na kuja na taarifa kuwa hela zilitoka kwa kufuata taratibu zote ,isipokuwa dosari zilianza kujitokeza kuanzia mwezi wa nne.

Mbatia amekomalia taarifa za kigogo
Wizi mnafanya halafu mnakuwa wakali sana.
Waziri mkuu anausika hapa kwa maelezo yako.
 
Mbatia mbona anampangia Rais majukumu yake?
Mbatia anapaswa aheshimu mamlaka ya Rais.
Rais alitoa maelekezo kwa ridhaa yake kwa CAG kufanya ukaguzi sasa anahiari, maana yeye ndiye anajua alicho kuwa anakitaka, sasa Mbatia mbona unaanza kuingilia majukumu ya Rais?!
hebu tuwe wastaarabu, kama hatuna cha kuongea sio lazima kuzungumza ni heri kukaa kimya.
 
Wa kwanza ni yule mitindo wa CCM, ntibayoikiza
 
Nikiwa raia mwema, naunga mkono hoja na kama viongozi wapo wachukuliwe hatua. Ndiyo maana tunahitaji katiba mpya ili tuweze nyonga viongozi washenzi wanaojali maslahi yao tu.
 
Back
Top Bottom