Mbatia ataka majina ya waliofisadi mabilioni ya Benki kuu yawekwe hadharani, asema wale waliosimamishwa Hazina ni dagaa tu

Mbatia wewe si "mwenzetu" ? tusipangiane majukumu, hata wale waliochukua hela za Escrow Stanbic kwenye sandarusi waliwahi kutangazwa ? Muache mama aendelee kuijenga mama Tanzania !🤸🤣🐒
 
Si awataje tu kwani anaogopa nini? Mama hana mambo ya kutekateka watu, Kama anawajua awataje na mzigo waliochukua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…