Mbatia: Ndugai alipaswa kupeleka barua ya kujiuzulu bungeni na siyo kwa Katibu wa bunge, Nakata rufaa!

Mbatia: Ndugai alipaswa kupeleka barua ya kujiuzulu bungeni na siyo kwa Katibu wa bunge, Nakata rufaa!

Nakala inasomwa Bungeni ukumbini
nahiyo ndo hoja lakini yalifanyika si kipindi cha bunge ndomana nikataja nyumbani,na ofisi ya bunge ipo hata kama wabunge wapo majimboni ndo hapa katibu anahusika''
 
Barua ya Ndugai_1.jpg


Barua ameaddres kwa bunge nakala katibu mkuu wa CCM

MH NDUGAI YUKO SAHIHI
 
James Mbatia amesema kufuatian hukumu ya leo juu ya kujiuzulu Spika Ndugai kinyume cha mutaratinu anaishukuru mahakama kwa maamuzi yake ya kumuonyesha barua ya Ndugai kwenda kwa Katibu wa bunge.

Mbatia amesema hukumu hiyo mimefungua mlango wa yeye kukata rufaa kwani katiba inasema barua itawasilishwa bungeni na siyo kwa Katibu wa bunge.

PIA SOMA: News Alert: - Mahakama Kuu yatupilia mbali kesi ya kupinga Ndugai kujiuzulu Uspika. Yasema hakuna ukiukwaji wa Katiba uliofanywa (28/01/2022)

Source: ITV habari

View attachment 2098850
Komaa nao Mbatia
 
James Mbatia ndiye anauchungu sana na nchi hii? Maigizo Bongo hayaishi. Mama anatakiwa kuto wapuuza saana wapuzi hawa. Yeye Ndugai amejihudhuru na amekubali kuachia kiti sasa J. Mbatia ndio nani? Anaongeza cache tu kwenye mahakama zetu
 
Hivi hili bwege linategemea nini? Kama Ni uteuzi si aombe Polepole Kama mwenzake Zitto. Hiyo barua aliyopewa Ni ya michongo, watashindwa kuchonga kwamba alipelekwa bungeni usiku?
 
Kesi yake haina maana yeyote maana mwisho wa siku spika mwingine atapatikana tu.

Kuna mambo mengine muhimu ya kushughulika nayo kuliko hili.
Ulishawahi sikia katika nji hii kunakushughulika na mambo muhimu yepi kwa mfano?
 
James Mbatia amesema kufuatian hukumu ya leo juu ya kujiuzulu Spika Ndugai kinyume cha mutaratinu anaishukuru mahakama kwa maamuzi yake ya kumuonyesha barua ya Ndugai kwenda kwa Katibu wa bunge.

Mbatia amesema hukumu hiyo mimefungua mlango wa yeye kukata rufaa kwani katiba inasema barua itawasilishwa bungeni na siyo kwa Katibu wa bunge.

PIA SOMA: News Alert: - Mahakama Kuu yatupilia mbali kesi ya kupinga Ndugai kujiuzulu Uspika. Yasema hakuna ukiukwaji wa Katiba uliofanywa (28/01/2022)

Source: ITV habari

View attachment 2098850
Na hiyo aliyo onyeshwa wali andika wao. Hatuna. Mahakama kwa sasa. Bali tuna praise team ya mahakama
 
Jamaa alipinduliwa hakujuuzuru mwenyewe, unachezea usalama
we jamaa unaujua mkanda wote,ktk wote walio reply humu ,ww ndo mtu wa kwanza kufungua dot ya kwanza. halafu naskia aliwekwa under ........arr..........st kule hom kwake,kwa kpnd fulani.
 
Tuanzie hapa.
Ndugai akifika mahakamani Siku za kesi? Kinga aliondokewa?
Mbatia siyo mjinga anaelewa anachofanya. Hayo maswali ya kejeli tunayomtupia,yule amewahi kuwa mbunge anaelewa kanuni na taratibu zote. Sote tuliambiwa Ndugai amewasilisha barua ya kujiuzuru kwa Katibu mkuu wa ccm, na nakala amepewa katibu wa bunge. Leo serikali imetoa barua ya kwenda kwa Katibu wa bunge na kwenda kwa Katibu mkuu wa ccm, tofauti na ilivyokuwa awali, ni wazi wameona Mbatia ana hoja.
 
Back
Top Bottom