nyambari
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 355
- 171
Kwa wale wafuatiliaji mambo ya bunge hivi ni nani ameudanganya umma kuhusu mitaala ya elimu Tanzania?
Mbatia aliyesema nchi haina mitaala na kama ipo apewe ili ajiridhishe? au ni Dk. Kawambwa aliyesema mitaala ipoa ila akashindwa kuipeleka mbele ya bunge mara moja alipotakiwa kufanya vile na mtoa hoja?
Mbatia aliyesema nchi haina mitaala na kama ipo apewe ili ajiridhishe? au ni Dk. Kawambwa aliyesema mitaala ipoa ila akashindwa kuipeleka mbele ya bunge mara moja alipotakiwa kufanya vile na mtoa hoja?