Elections 2010 MbayuWayu T-Shirt & Caps

Natafuta baadhi ya wadau tushirikiane kuziandaa hizi T-Shirt najua itabidi iwe oda kubwa sana nami sina Capital.
Upatikanaje wake utakuwaje? Je, unasubiri uzinduzi wa kampeniwa August 28, ama utaingiza dukani? Mimi kama mdau wa Man Utd niependa nyekundu. Niambie nitaweza kuipata vipi.

Go wa ndima go
 
Natafuta baadhi ya wadau tushirikiane kuziandaa hizi T-Shirt najua itabidi iwe oda kubwa sana nami sina Capital.

Kuna wajasiriamali kibao hapa JF ambao walikuwa wanatafuta business partners. Hawa ukilonga nao vema wanaweza kukupa mtaji wa kuanzia, naomba pita hapo kwenye jukwaa la uchumi, utawakuta hapo! Ukishindwa kabisa kabisa, m-PM Invizibo akupe wazo.
 

Kuna wajasiriamali kibao hapa JF ambao walikuwa wanatafuta business partners. Hawa ukilonga nao vema wanaweza kukupa mtaji wa kuanzia, naomba pita hapo kwenye jukwaa la uchumi, utawakuta hapo! Ukishindwa kabisa kabisa, m-PM Invizibo akupe wazo.

Poa mkulu ila kuna watu wamentisha eti hawa jamaa wa Usalama watantafuta waniBabu Seya au kuni Jerry Muro mwana wa mwenzao eti JF hakuna usalama dah!!
 
Poa mkulu ila kuna watu wamentisha eti hawa jamaa wa Usalama watantafuta waniBabu Seya au kuni Jerry Muro mwana wa mwenzao eti JF hakuna usalama dah!!

Mkuu hao watishiaji hawaishi. Kama ni kuogopa UWT JK asingekuwa na upinzani na wabunge wa CCM wangepita bila kupingwa. Kuwa mtanzania ni pamoja na kujivunia uhuru wa kutumia ubunifu wako kujipatia kipato halali. Sasa hao UWT unaowaogopa watakupa kazi au wanataka uwe mjasiriamali mwizi? Tishiatishia zimeanza kila malali ili watu waogope. Weka mzigo sokoni mkuu hata kama ni mdogo, mtaji utazunguka haraka sana wakati huu
 
Mkuu Tshirt ni nzuri sana tuambie zapatikana wapi hata ukiuza Tsh.15000 zitalipa sana tu tena zitagombewa kama mpira wa kona
 
Mbona hakuna ya............. KONG'OTA?.........Pia alitajwa siku alipowapiga mkwala wakongwe wa ccm Dar.
Unipe na bei ya T-shirt na Kofia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…