Upatikanaje wake utakuwaje? Je, unasubiri uzinduzi wa kampeniwa August 28, ama utaingiza dukani? Mimi kama mdau wa Man Utd niependa nyekundu. Niambie nitaweza kuipata vipi.Natafuta baadhi ya wadau tushirikiane kuziandaa hizi T-Shirt najua itabidi iwe oda kubwa sana nami sina Capital.
Go wa ndima go