Mbazigwa Hassan

Kasongo yeyee, mobai na ngai ndio wimbo unaopigwa muda huu saa tisa usiku wa wahenga, nime tune TBC kumsikiliya Mbazigwa Hassan
 
Unaonaje uzi wako wa Mbazigwa Hassan uungwe na uzi wa JF usiku wa manane?
 
Huyo mtangazaji wa TBC taifa,napenda utangazaji wake,kila kipindi anachotangaza nakipenda sana,hivi sasa anatangaza mkesha wa wahenga,nipo macho mpaka amalize.
Manger naye chai
 
sass mbazigwa anapiga wimbo wa the late nzaya nzayadio,ndukudi,huu wimbo niliusikia mwaka 1978
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…