zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Ndio nalinda ufagio wangu kwani kuna tatizo?Nalinda nyumba yangu,wewe je ni mlinzi pia,maana upo macho
Nani huyo alisoma shy bush?Safi jamaa alisoma shy bush high school enzi hizo,shule ilikuwa inafundisha muziki
masoud masaoudNani huyo alisoma shy bush?
lindaNdio nalinda ufagio wangu kwani kuna tatizo?
Umesemaje hapo?Mie pia huyo jamaa namfahamu toka akiwa kijana kule tabora alikuwa disco dancer mmoja hatari sana,wakati huo akiitea niger j,dah na jamaa alikula papuchi za wanafunzi balaa
Mwaka?masoud masaoud
Umerequest kasongo au sio?Sasa hivi mbazigwa anapiga kasongo
sikumbuki lakini no miaka mingi nadhani ni mwsho mwisho wa miaka 70 au mwanzoni mwacmiaka ya 80,maana wazazi wake walikuwa wakiishi mwaduiMwaka?
hapana huwa anachagua yeye tuUmerequest kasongo au sio?
sasa anapiga andoya ya tshimangah assossaKasongo yeyee, mobai na ngai ndio wimbo unaopigwa muda huu saa tisa usiku wa wahenga, nime tune TBC kumsikiliya Mbazigwa Hassan
Hapo sawa nimekusoma vizuri mkuusikumbuki lakini no miaka mingi nadhani ni mwsho mwisho wa miaka 70 au mwanzoni mwacmiaka ya 80,maana wazazi wake walikuwa wakiishi mwadui
baadae nyerere alimteua baba yake kuwa muambata umoja wa mataifa na wamekaa new york miaka mingi tuHapo sawa nimekusoma vizuri mkuu
Manger naye chaiHuyo mtangazaji wa TBC taifa,napenda utangazaji wake,kila kipindi anachotangaza nakipenda sana,hivi sasa anatangaza mkesha wa wahenga,nipo macho mpaka amalize.
sina kipingamiziUnaonaje uzi wako wa Mbazigwa Hassan uungwe na uzi wa JF usiku wa manane?
Aaaweee acha kabisa acha uwe hivi hivi kule kurefusina kipingamizi
nakijua na huyo dada sauti yake nzuri sanaKuna kipindi cha TBC cha Farida Hassan kinaitwa muziki laini kinaruka usiku wa manane huwa nakifuatilia sana