Mbege ifanywe pombe ya Taifa tu hakuna namna

Aisee
 
Mimi nashauri gongo kwA sababu za upatikanaji, na value for money( chupa moja unalewa kabisa. Mbege unaweza maliza ndoo lkn bilabila
Tukiwa kidato cha 3.
Watu watatu tulikuwa tunakunywa kitoto ndoo, na darasani tunaingia vizuri tu.
Kifupi mbege kama mbege bila kuiboost na konyagi au Kvant huwa haileweshi.
 
Makobaz umeyatupa wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…