HahahahahahahaaaTangu lini mbege ikawa pombe yaani unakunywa mbege unalewa, wewe ni mtu au maiti?
Ukinywa gongo au katafunua si utafirrrrrwa wewe!
AiseeWakati tunataka vazi la Taifa basi mbege ifanywe iwe pombe au kinywaji cha taifa
Kiukweli hakuna kama mbege!! Tena upate iliyolala siku 3 daaaah
Wakuu hakuna kitu kizuri kama mbege yaani unalewa kistar yaani
Ni pombe nzuri sijapata kuona
Aliyevumbua hichi kinywaji ana nafasi yake huko mbinguni ni miongoni mwa burudani amaizing sana
Mbege shikamoo toka nimekuja Moshi nimesahau chai na majuisi na ni mbege tu na kushushia na bia baridi
Kiukweli maisha ya December Moshi ni maisha matamu sana aisee mimi sijui ingekuaje nisingezaliwa huu mkoa teh teh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila Mbege ni tamu sana, ni nzuri na bora kwa afya sijui kama nitakuja niache mbege!!
Tukiwa kidato cha 3.Mimi nashauri gongo kwA sababu za upatikanaji, na value for money( chupa moja unalewa kabisa. Mbege unaweza maliza ndoo lkn bilabila
SanaaaaK vant na mbege wanaelewana sana.
Makobaz umeyatupa wapi?Wakati tunataka vazi la Taifa basi mbege ifanywe iwe pombe au kinywaji cha taifa
Kiukweli hakuna kama mbege!! Tena upate iliyolala siku 3 daaaah
Wakuu hakuna kitu kizuri kama mbege yaani unalewa kistar yaani
Ni pombe nzuri sijapata kuona
Aliyevumbua hichi kinywaji ana nafasi yake huko mbinguni ni miongoni mwa burudani amaizing sana
Mbege shikamoo toka nimekuja Moshi nimesahau chai na majuisi na ni mbege tu na kushushia na bia baridi
Kiukweli maisha ya December Moshi ni maisha matamu sana aisee mimi sijui ingekuaje nisingezaliwa huu mkoa teh teh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila Mbege ni tamu sana, ni nzuri na bora kwa afya sijui kama nitakuja niache mbege!!