Mbegu ninazotoa kila siku zinaniuma

Mbegu ninazotoa kila siku zinaniuma

Wakuu nipo kwenye game LA kutafuta mtoto mwaka wa huku 2,cha ajabu,xna nukikumbuka mbegu znazopotea kichwa chaniuma,mwanzo nilikuwa na x alipata mimba yangu ,mi sikujua nikasafiri mwaka mmoja,kurudi nikakuta ameolewa ,alipopata habari nmerudi akanitafuta,kwa uchungu mwingi akaniambia ,nmekaa na siri ya dhambi moyoni inaniuma,nikamuuliza nn ,akaniambia ametoa mimba ya miez 3,kunusuru ndoa take mpya ,akasema nisamehe ,Leo nahisi kutua mzigo maana nmekuona niliye kukosea ,(alisema hayo huku machozi yakimwagika )Leo SNA mtoto nimekuwa nkimtamani kila mwanamke mjamzito namkumbuka x wa mwanzo,kuchepuka naogopa nahisi kila nmuonaye AME effect, msaada wakuu
Nna mimba yako mkuu
 
Mbegu ninazotoa zinaniuma kazi inayofanyika ni kubwa but haina faida sipati mtoto OK,dada T-bagwell
Hata mm hapa ndo nimekuelewa,pole sana mkuu,nenden wote wawili mkapime mjue ttz ni nn,kama ni kula vyakula vya kurutubisha mbegu ufanye,pia omba mungu Sanaa
 
Mkuu Mimi ni msela sio dada, avatar isikuchanganye

Wewe na mwenza wako mngeenda kupima afya zenu za uzazi tatizo lijulikane lipo wapi?

Je ulisjawahi kujaribu kwa mtu mwingine pia akashindwa kushika mimba?
Nmewahi kujaribu mkuu akatoa inaniuma
 
Kuwa na subira ila jaribu kuangalia Mwenza wako mzunguko ukoje, je 28, 30,32,35 maana kila mzunguko una siku zake
Mkuu mzunguko ni shida tu,haueleweki kila mwezi ni mabadiloko anaweza enda 21mwezi ujao 1,nilisha hesabu hzo siku mkuu nikachoka sasa akili imechoka
 
Punguza mawazo, relax na pia sk za kawaida pia ambazo hutegemei ndo unashangaa mtu kanasa...Mungu ni mwema atakupa wanao sk moja
 
Mkuu mzunguko ni shida tu,haueleweki kila mwezi ni mabadiloko anaweza enda 21mwezi ujao 1,nilisha hesabu hzo siku mkuu nikachoka sasa akili imechoka
Ulishawai enda hospital?????
 
andika vizur....mtoto utapata tu kaza kiuno hiko
 
Mkuu Mimi ni msela sio dada, avatar isikuchanganye

Wewe na mwenza wako mngeenda kupima afya zenu za uzazi tatizo lijulikane lipo wapi?

Je ulisjawahi kujaribu kwa mtu mwingine pia akashindwa kushika mimba?
Mkuu hahahah ungebadili avatar au
 
Wakuu nipo kwenye game LA kutafuta mtoto mwaka wa huku 2,cha ajabu,xna nukikumbuka mbegu znazopotea kichwa chaniuma,mwanzo nilikuwa na x alipata mimba yangu ,mi sikujua nikasafiri mwaka mmoja,kurudi nikakuta ameolewa ,alipopata habari nmerudi akanitafuta,kwa uchungu mwingi akaniambia ,nmekaa na siri ya dhambi moyoni inaniuma,nikamuuliza nn ,akaniambia ametoa mimba ya miez 3,kunusuru ndoa take mpya ,akasema nisamehe ,Leo nahisi kutua mzigo maana nmekuona niliye kukosea ,(alisema hayo huku machozi yakimwagika )Leo SNA mtoto nimekuwa nkimtamani kila mwanamke mjamzito namkumbuka x wa mwanzo,kuchepuka naogopa nahisi kila nmuonaye AME effect, msaada wakuu
kipindi cha nyuma kabla ujaoa ulikuwa unapiga punyeto...???
 
Back
Top Bottom