Mbegu ya Mnyama

Mbegu ya Mnyama

Noel 2014

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2014
Posts
712
Reaction score
289
Wadau, naomba kufahamishwa, Je Mbegu ya Mnyama inayo weza/ku/sababisha Mimba, ni Sehemu ya viumbe hai au La? Kama ni Sehemu ya viumbe hai/hai, je katika Classification ya Viumbe hai, ina fall kwenye Group gani?

Asanteni...
 
Wadau, naomba kufahamishwa, Je Mbegu ya Mnyama inayo weza/ku/sababisha Mimba, ni Sehemu ya viumbe hai au La? Kama ni Sehemu ya viumbe hai/hai, je katika Classification ya Viumbe hai, ina fall kwenye Group gani?

Asanteni...

Una hakika hii taarifa unayotafuta itakuwa na msaada kwako?
 
Una hakika hii taarifa unayotafuta itakuwa na msaada kwako?

Naomba kufahamishwa, vyote unavyovijua ama taarifa zote unazozijua zina faida kwako? I want to know, for the Case of knowing.
 
Naomba kufahamishwa, vyote unavyovijua ama taarifa zote unazozijua zina faida kwako? I want to know, for the Case of knowing.

Vingine mtu unajikuta unavifahamu kwa sababu unaishi katika mazingira ya kukumbana navyo, hata kama havitakuwa na faida kwako. Lakini kama unaamua kwa makusudi kutafuta kitu, lazima kiwa na faida kwa namna fulani.

Na lengo la swali langu kwako ilikuwa kukugutua kuwa kama kuna maelezo ulitaka zaidi ya ulichoandika ulitakiwa kufafanua vizuri maana swali lako kama lilivyo linaonyesha huna 'idea' na maana ya kiumbe hai na ndiyo maana nikahisi hiyo taarifa inaweza isiwe na faida kwako.

Kifupi kama unahitaji kujua uliza vema swali lako.
 
Back
Top Bottom